Binti yake Raila Odinga aiomba msamaha Tanzania

Hawa wakenya nao watadai na Magufuli ni rais wao
 

Uhuru Kenyatta alijieleza vizuri sana majuzi akiwa Israel; Wakenya ni wataalamu wa wizi! Kenya is bandit economy by CJ Mutunga; Kenya is a man eat man society by JK Nyerere; kwa hiyo wakenya ndivyo mlivyo; manyag'au na majambazi; mnafanya hivyo kwa makusudi kwa sababu ndio hulka yenu; Unyang'anyi.!!
 
We nawe umeongea pumba kabisa,kweli znz hampendi shule nimeamini
Ni kweli nakubali kuwa ZNZ hatupendi shule, ikiwa kufanya hivyo ndio kupata leseni ya kuua wazee na vikongwe wenye macho mekundu, kuua Albino na kuchuna ngozi za binadamu. Kweli na mimi nimeamini kuwa nyie mnapenda shule, hongera !
 
Ni kweli, kama sisi tunavyotaka kuwanyan'ganya Malawi ziwa Nyasa.
 
Ni kweli, kama sisi tunavyotaka kuwanyan'ganya Malawi ziwa Nyasa.

Malawi waliponzwa na mkataba wa Berlin 1881; The partitioning of Africa; kama tanganyika tumerithi mipaka kama tulivyoikuta; tukianza kuichora upya kutazuka vita vya hatari sana kutokana na haja ya kutetea raslimali kama mito; madini na mbuga nyeti; imagine leo Kenya waseme mlima Kilimanjaro ni wa kwao unategemea nini! Kama watu wako tayari kumsulubu Rosemary Odinga; raia wa kawaida asiye na madaraka ya kiserikali kuhusu Oldupai gorge; unategemea nini; let us leave pi a pi!
 
Ni kweli, kama sisi tunavyotaka kuwanyan'ganya Malawi ziwa Nyasa.
Kuhusu ziwa nyasa unaongea usichokijua, kama ambavyo Fatuma Karume alivyokudanganyeni, Ziwa lile ni haki ya nusu kwa nusu na Tanzania, kazi kubwa imefanywa na wanasheria mpaka kuweza kurejesha usawa, kaka epuka kukariri vitu usivyovijua.
 
Kuhusu ziwa nyasa unaongea usichokijua, kama ambavyo Fatuma Karume alivyokudanganyeni, Ziwa lile ni haki ya nusu kwa nusu na Tanzania, kazi kubwa imefanywa na wanasheria mpaka kuweza kurejesha usawa, kaka epuka kukariri vitu usivyovijua.

That makes two of us; kipofu na kiziwi hakuna wa kumcheka mwenzie! Hata wewe hapa umeonyesha kutokujua chochote kuhusu swala hilo! What can one read katika rejoinder yako hiyo? Umekariri ukasummarize
 
That makes two of us; kipofu na kiziwi hakuna wa kumcheka mwenzie! Hata wewe hapa umeonyesha kutokujua chochote kuhusu swala hilo! What can one read katika rejoinder yako hiyo? Umekariri ukasummarize
Mwanasheria aliyepewa kazi ya kuhakikisha Tanzania inapata haki katika matumizi ya ziwa nyasa ni my best friend. Aliyependekezwa na Benard Membe akiwa waziri wa mambo ya nje. Jamaa kafanya kazi nzuri mpaka sasa hivi Tanzania imefikia hatua nzuri. Huyo jamaa kwa sasa ndiye mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya anga, ni mwanasheria wa kimataifa, anaitwa Hamza Johari, ni mwanasheria na pia ni mtaalam wa masuala ya anga. Kwa hiyo nilichokiandika sio story ya mtaani. Jamaa aliwezeshwa na Kikwete, akapewa kila kilichotakiwa, na report ilishakabidhiwa kwa Kikwete kabla hajaondoka madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…