Binti wa miaka 22, nimemkuta na bikra

Binti wa miaka 22, nimemkuta na bikra

Sioni ajabu yeyote!!Kawaida sana huku mkoani kwetu!!
 
Hakuna ajabu hapo, mimi nimekutana na binti wa miaka 24, ana bikra yake..but nimeogopa kum-do maana sitomuoa na yeye ananipenda na anataka nimuoe, ila mm binafsi najua sitoweza! Na juzi kaniambia ameshindwa kuvumilia kwa jinsi anavyonipenda nim-do, but stil nahofia maana najua lengo lake ni tofauti na langu!

jamani muoe mtoto wa watu kajitunza kwa ajili yako ila kama huna nia naye usije ukamgusa utamuumiza sana
ila kwanin hutaki kumuoa
 
alikua period huyo...vinginevyo ni world wonder nikusaidie kuipeleka Guiness?
 
Wapo mi nimemkuta chuo kikuu bint bikira
Wapo bana but wachache.
 
Hali imekuwa mbaya kwa kizazi hiki, kwanza mimi demu akiniambia yeye ni bikra simtaki namkimbia maana huko naweza kukuta unga tu
 
Back
Top Bottom