Binti wa mchepuko wangu anataka nitembee naye

Binti wa mchepuko wangu anataka nitembee naye

Wakuu Niko Kwenye Denial Situation Mpaka Sjui Nifanye Nini.
.
Mwaka Jana nilianzisha na Mahusiano na Dada Mmoja Anafanya Kazi Hapa Dodoma.
.
Huyu Mpenzi Wangu ana Binti yake Amemaliza Form 6 mwaka Huu na Amepata div.1 ya point 5 na amechqguliwa Kwenda kusoma udaktari Chuo Fulani Hapa Tz.
.
Sasa nimekuwa na tabia ya Kwenda au kupita kumsalimia Mpenzi Wangu na kusalimia familia yake pia so nilienda pale lazima nimkute Binti yetu Huyu ambae mm Sio babake Wa kumzaa.
.
Kuna wakati Mamake aliniomba niende nae dukani kumnunulia simu Maana Alikuwa anamsumbua Mamake Kwamba anataka simu Kwa ajili ya kutumia.
.
So nikaenda nae dukani Hapa Jijini Dodoma tukanunua simu nikamsajilia na line pia so akawa na namba yangu ila mm sikuchukua yake.
.
Wakuu Huyu Binti wa Mchepuko Wangu ni Kisu sana halafu ana rangi ya mtume.
.
Mazoea yakaanza akawa ananitumia Meseji Sjui dadii nimekumis uje nyumbani Mara Sjui dadii nitoe out Hata bambalaga Yani Hekaheka nyingi Wakuu.
.
Nikawa najaribu kumkwepa Maana Mamake akijua tuna ukaribu kama Huo kitawaka mazee, ila Sasa Mazoea yakazidi, Mara anambie dadii napenda urefu Wako na Rangi Yako nyeusi, Nikawa najibu Asante Mwanangu.
.
Juzi wakati Niko Kwa Mamake then Mamake akanambia twende ndani tukaongee tukaenda Kuongeaongea Mama akataka mzigo ikabidi nimnjunje Kumbe Binti Yuko mlangoni anasikia miguno ya Mnjunjano jinsi Mamake anavyolalamika.
.
Baadae Nimetoka Namwambia Mwanangu naondoka amekaa kimya Wala hajibu sikujali nikaachana Nar, Demu akanisindikiza nikasepa Zangu home kwangu Maana Hapa Dom nakaa pekeyangu Waifu Yuko Dar Kazini pia.
.
Kufika Home akanitumia text Kwamba nimemhudhu, nikamuuliza kisa Nini akasema Kwa Nn Sijiongezi Kwake Maana na yy anataka utamu anaupata Mamake na Yuko Tayari haupate.
.
Nikamuuliza utamu Gani Anaoutaka Kutoka Kwa Babake Mimi, Daaaah ikabidi anambia ananipenda sana na anataka niwe namgonga pia hataki Mwanaume mwingine Zaidi Yangu.
.
Asubuhi Hii kanitumia Meseji Kwamba Nikitoka Kazini atakuja Home Kwangu Kuonana na Mm na Amenambia nisimwambie Mamake.
.
Wakuu nafanyaje Kumuepuka Huyu Binti Nawaza akikolea Kwangu na Mpenzi Wangu Kwa Maana ya Mamake akijua itakuwa noma Sana
.
Nipeni Ushauri Wakuu wa MMU...
Kwa hili bandiko lako naona umeamua aupate ujumbe
 
Inashindikana vp kula ukamaliza ukajifuta mdomo na usikizungumzie chakula ulichokula?

Sasa jambo dogo kama hili linakuwaje tatizo kwa mwanaume aliyepevuka mpaka kuoa na watoto?
 
Inashindikana vp kula ukamaliza ukajifuta mdomo na usikizungumzie chakula ulichokula?

Sasa jambo dogo kama hili linakuwaje tatizo kwa mwanaume aliyepevuka mpaka kuoa na watoto?
Daah Unataka nimchakate Huyo Binti Mkuu
 
Kuna mahali nimewataja Majina? Mmeacha kunishauri Then mnanishambulia Kwa personal attack
Umetoa details ambazo ni rahisi kumjua muhusika, ama muhusika mchepuko wako kuusoma huu uzi na kugundua mwanae anakutaka.
 
Do not have intercourse with both mother and her daughter Lev 18:17

Usishiriki na mwanamke na bintiye ...Mambo ya walawi 18:17
Ni Laana
 
Inashindikana vp kula ukamaliza ukajifuta mdomo na usikizungumzie chakula ulichokula?

Sasa jambo dogo kama hili linakuwaje tatizo kwa mwanaume aliyepevuka mpaka kuoa na watoto?
Pagumu hapo ila kwa sisi wakomavu kazi ndogo sana hii, angeshaliwa kitambo sana na asingeachwa.
 
Mchakate huyo ila tusaidie mahali anapofanyia kazi mkeo tukusaidie kumchakata
 
Do not have intercourse with both mother and her daughter Lev 18:17

Usishiriki na mwanamke na bintiye ...Mambo ya walawi 18:17
Ni Laana
Tunazo laana nyingi sana yani kwa hii ya mabint kama hawa mpaka viongozi wetu wa dini wanayo.
 
Hujawahi kuishi nyumba za kupanga wewe?unaweza ukawachapa wapangaji hata sita ndani ya nyumba moja na wasijuane, kazi za watu hizi.tuachie sisi broo.
 
Back
Top Bottom