Ngugu yangu usijalibu kula Tigo ya kihindi si unajua wale jamaa kwa pilipili?jaribu uone moto.ushawai guswa na pilpili ktk ngozi laini?utaungua.
Mahaba niue hiyoAnauza duka la vifaa vya Kompyuta maeneo ya posta, nilienda kununua External Hard-disk. Wakati ananipatia akaniminya kidogo kiganja cha mkono wangu
Nilisisimka si mchezo, Halafu yule mh... maana umbo lake si flat kama wahindi wengi tunaowaona Bongo. Sijui nianzie wapi maana zoezi la kwanza lilikuwa kumuondoa mawazoni imeshindikana........
Yule akicheka kuna vishimo vile kwenye mashavu sijui vinaitwaje............ Ni mpole hana dharau. Yaani haki ya Mungu nampenda yule dada. Nakosa raha maana naona ni kina kirefu sijui kama nitaweza kupiga mbizi
Jamani mwenye mistari ya kuingilia kwa Muhindi niko tayari hata kumlipa.
Old is gold mkuuDah mkuu, naona umekumbuka JF yetu Ileeeeeeeeee.
Wanalika vizuri tu, ila mara nyingi ni ile fastafasta, manake hawachelewi kutafutwa home!Hapo kwenye Red huwa nasikia sana hizo story ingawa sina uhakika kama zina
ukweli please kama kuna mtu ana ushahidi kuwa imewahi kutokea ni vizuri akitufahamisha.
"Mwambie jumamosi uchukue chumba lodge gani full stop"Anauza duka la vifaa vya Kompyuta maeneo ya posta, nilienda kununua External Hard-disk. Wakati ananipatia akaniminya kidogo kiganja cha mkono wangu
Nilisisimka si mchezo, Halafu yule mh... maana umbo lake si flat kama wahindi wengi tunaowaona Bongo. Sijui nianzie wapi maana zoezi la kwanza lilikuwa kumuondoa mawazoni imeshindikana........
Yule akicheka kuna vishimo vile kwenye mashavu sijui vinaitwaje............ Ni mpole hana dharau. Yaani haki ya Mungu nampenda yule dada. Nakosa raha maana naona ni kina kirefu sijui kama nitaweza kupiga mbizi
Jamani mwenye mistari ya kuingilia kwa Muhindi niko tayari hata kumlipa.
Duuuuuuuh!!!Wanalika vizuri tu, ila mara nyingi ni ile fastafasta, manake hawachelewi kutafutwa home!