ichenjezya
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,010
- 1,119
Kuna ndugu yangu anahtaji binti wa kazi mwaminifu,asizidi miaka 24,mzoefu,asiwe na mtoto,eneo la kazi ni Dar,kama yupo niPM
Mwenye mtoto wa kuja na kuondoka hapana!Yupo mwenye mtoto wa kuja na kuondoka
Yap,username ya Ichenjezya VwawaIchenjezya vwawa hyo
Hawa wa kuja na kurudi ni rahisi sana kukuibia au kufanya mchongo na majambazi...Yupo mwenye mtoto wa kuja na kuondoka
Huyu ni binti wangu nitamdhamini mimi na atakuwa anakaa kwangu,wewe nijulishe upo wapi kwa hapa DarHawa wa kuja na kurudi ni rahisi sana kukuibia au kufanya mchongo na majambazi...
Kuna ndugu yangu anahtaji binti wa kazi mwaminifu,asizidi miaka 24,mzoefu,asiwe na mtoto,eneo la kazi ni Dar,kama yupo niPM
Nina wasichana toka ngara kama upo tayari nijulisheKuna ndugu yangu anahtaji binti wa kazi mwaminifu,asizidi miaka 24,mzoefu,asiwe na mtoto,eneo la kazi ni Dar,kama yupo niPM
Wa ngara mpelekee mama yakoNina wasichana toka ngara kama upo tayari nijulishe
Mpelekee bibi yakoHuyu ni binti wangu nitamdhamini mimi na atakuwa anakaa kwangu,wewe nijulishe upo wapi kwa hapa Dar
Dar maeneo gani mkuuKuna ndugu yangu anahtaji binti wa kazi mwaminifu,asizidi miaka 24,mzoefu,asiwe na mtoto,eneo la kazi ni Dar,kama yupo niPM
Maeneo ya Makongo juu!Dar maeneo gani mkuu
mmmhmpenzi wangu yupo jobless sasa hivi anatafuta kazi. yupo dar.
Yupo tuwacliane ktk 0757685780Kuna ndugu yangu anahtaji binti wa kazi mwaminifu,asizidi miaka 24,mzoefu,asiwe na mtoto,eneo la kazi ni Dar,kama yupo niPM
Mbona unaguna mkuummmh
Nipo tayari mkuuKuna ndugu yangu anahtaji binti wa kazi mwaminifu,asizidi miaka 24,mzoefu,asiwe na mtoto,eneo la kazi ni Dar,kama yupo niPM