Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Babu wa miaka 61 amemzalisha Binti wa miaka 13 mapacha 3 . Kwa sasa Babu huyo amekimbiliia mafichoni. Hii imetokea katika Jamhuri ya Domenica. Umri ulopangwa wa kuzaa kisheria ni miaka 18.
Soma zaidi: Girl, 13, gives birth to triplets fathered by 61-year-old on the run in Dominican Republic to avoid child sex charges | Mail Online