Mecury
Member
- Jan 5, 2013
- 83
- 40
Wataalamu habari zenu,
Kwanza kabisa mimi ni mmoja wa wahitimu wa chuo kikuu flani cha afya hapa mchini, kwa wasiofahamu ni kuwa ukimaliza masomo ya shahada ya baadhi ya kozi za afya huwa wahitimu hutakiwa kwenda kufanya mafunzo kwa vitendo ambapo walau tunapata mpunga flani hv/mwezi ktk muda wa miezi 12.
Sasa tuje kwenye mada kuu, miaka kama miwili hivi niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja hivi nilimpenda ma yeye akanipenda tatizo alikuwa ni mtu wa virungu sana japo sio vikubwa kihivyo so niliweza kumvumilia, sasa katika harakati za maisha alikuja akapata msala kazini kwake akatimuliwa. Muda ukapita kidogo akapata mishe nyingine katika wilaya jirani na tulipokuwa tunaishi sasa katika kwenda huko mawasiliano yaliharibika kwa kiasi kikubwa na kupelekea uhusiano kudorora kabisa, tukawa kama marafiki na sio kama wapenzi siwezi kumlaumu yeye kwani kwa kiasi kikubwa nilichangia kuharibika kwa mahusiano yetu kwani mimi ni MTU introverted sana.
Sasa ikawa tunawasiliana mara moja moja sana, akawa amerudi mjini mapema mwaka huu sasa, tukaendelea kuwasiliana lakini kama marafiki wa kawaida. Nikajikuta natamani turudi kama tulivyokuwa mwanzoni. Sasa nikamweleza binti, chakushangaza binti akawa anaringa sana mara atake zawadi na tena anapendekeza iwe ya aina gani na ya gharama kweli kweli ama akiwa na shida ndo aje getto afu hataki hata nimshike mkono.
Sasa maajabu mwezi wa nane kipindi nakaribia mitihani yangu ya mwisho kabisa chuoni. Sasa binti akaanza kujilegeza mwenyewe simu nyingiiii anakuja getto bila sababu zozote za msingi mara aseme anataka mtoto mara aseme anataka tuishi pamoja wakati mwanzoni alikuwa kuja getto mpaka zawadi afu anakaa umbali wa mita moja hataki kuguswa, sasa mimi huwa na mzungusha hv make kumla napenda lakini kumuoa sasa nashindwa kabisa kwani nimemuona kama kawa kama mbangaizaji hivi siku hizi.
Kwanza kabisa mimi ni mmoja wa wahitimu wa chuo kikuu flani cha afya hapa mchini, kwa wasiofahamu ni kuwa ukimaliza masomo ya shahada ya baadhi ya kozi za afya huwa wahitimu hutakiwa kwenda kufanya mafunzo kwa vitendo ambapo walau tunapata mpunga flani hv/mwezi ktk muda wa miezi 12.
Sasa tuje kwenye mada kuu, miaka kama miwili hivi niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja hivi nilimpenda ma yeye akanipenda tatizo alikuwa ni mtu wa virungu sana japo sio vikubwa kihivyo so niliweza kumvumilia, sasa katika harakati za maisha alikuja akapata msala kazini kwake akatimuliwa. Muda ukapita kidogo akapata mishe nyingine katika wilaya jirani na tulipokuwa tunaishi sasa katika kwenda huko mawasiliano yaliharibika kwa kiasi kikubwa na kupelekea uhusiano kudorora kabisa, tukawa kama marafiki na sio kama wapenzi siwezi kumlaumu yeye kwani kwa kiasi kikubwa nilichangia kuharibika kwa mahusiano yetu kwani mimi ni MTU introverted sana.
Sasa ikawa tunawasiliana mara moja moja sana, akawa amerudi mjini mapema mwaka huu sasa, tukaendelea kuwasiliana lakini kama marafiki wa kawaida. Nikajikuta natamani turudi kama tulivyokuwa mwanzoni. Sasa nikamweleza binti, chakushangaza binti akawa anaringa sana mara atake zawadi na tena anapendekeza iwe ya aina gani na ya gharama kweli kweli ama akiwa na shida ndo aje getto afu hataki hata nimshike mkono.
Sasa maajabu mwezi wa nane kipindi nakaribia mitihani yangu ya mwisho kabisa chuoni. Sasa binti akaanza kujilegeza mwenyewe simu nyingiiii anakuja getto bila sababu zozote za msingi mara aseme anataka mtoto mara aseme anataka tuishi pamoja wakati mwanzoni alikuwa kuja getto mpaka zawadi afu anakaa umbali wa mita moja hataki kuguswa, sasa mimi huwa na mzungusha hv make kumla napenda lakini kumuoa sasa nashindwa kabisa kwani nimemuona kama kawa kama mbangaizaji hivi siku hizi.