MSHINO
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,069
- 713
Wana jamii mwenye ndugu aliyepotea, mida ya mchana binti mwenye picha hapo juu alionekana mitaa ya Msasani akiwa ana maumivu makali huku akitokwa na damu km dalili ya kubakwa, binti alionekana km asiye na akili timamu, pia alikuwa akiongea kwa ishara tu. mtoa taarifa aliwakuta wasamalia wema wakijadiliana kuita polisi wa pikipiki kumsadia. Mkononi alikuwa na pesa noti mili za shilingi 500.