Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 3,146
- 6,009
Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Bingwa wa Vichekesho nchini, Anapmba ridhaa apate miaka mitano tena.
Miaka mitano tena ya nini!!?Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Bingwa wa Vichekesho nchini, Anapmba ridhaa apate miaka mitano tena.
View attachment 3285920
Wapumbavu wa chadema...yohana alikuja Ali wala kunywa wakasema ana pepo JPM kaja anakula na kunywa wakasema muhuni dictator mjamaa rafiki wa masikini na mshamba ..rais wa ajabuDuh! Mheshimiwa Mwandishi nguli na Wakili msomi Pascal Mayalla, karibu utie neno hapa.