Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,857
- 2,544
Kama uliwaangalia Chelsea walivyo kutana na Juve game ya kwanza uefa huwezi kusema uefa anaweza kuchukua,Chelsea Labda Epl ,Uefa hapana.Huu ni utabiri ama?
Nakupa hii hebu waangalie Chelsea wanavocheza alafu njoo tena ufanye utabiri wako.