Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 12,212
- 17,005
Wana JF,kuuliza si kosa,kuna huyu jamaa,hana baya na mtu si mwingine ni mwenzetu Rarara rerere,Sijaziona like zake kitambo!
Ni hayo tuu wenzangu.
Ni hayo tuu wenzangu.
Nae kapotelea wapi Mkuu?!Kuna mtu alikuwa anaitwa joseeverst sijui yeye alikuwa anakomenti wa kwanza thread karibu zote
Gen z kama hamumjui mtajua wenyewe
Wacha Mkuu!usalama huyo kabadilishwa kitengo
Kwa utambulisho wake alidai ni ME!ni jinsia gani? Isije ikawa amejifungua yupo busy na kulea.
Unataka kumfanyaje😁😁Wana JF,kuuliza si kosa,kuna huyu jamaa,hana baya na mtu si mwingine ni mwenzetu Rarara rerere,Sijaziona like zake kitambo!
Ni hayo tuu wenzangu.
Nimezimiss like zake hata ukiongea pumba yeye hana baya,anslike tuu!Unataka kumfanyaje😁😁
Ok,anazuia maandamano ya kumpinga Trump?Yupo kwenye kikao na Trump
Yupo bize na ujenzi wa taifa, namuonaga mara moja moja sana siku hiziN
Nimezimiss like zake hata ukiongea pumba yeye hana baya,anslike tuu!
inaonekana mwezi wa mwisho January ndio alikuwa anashinda JF lakini tangu iingie FEBRUARY mpaka sasa anaingia mara chacheYupo bize na ujenzi wa taifa, namuonaga mara moja moja sana siku hizi
Naam, itakuwa hivyo mkuuinaonekana mwezi wa mwisho January ndio alikuwa anashinda JF lakini tangu iingie FEBRUARY mpaka sasa anaingia mara chache
Itakuwa yupo bize na mishe
Masta kabisaOk,anazuia maandamano ya kumpinga Trump?
😂 Kuna kipindi alipotea jukwaani, wakasema ameenda Tandabui kusoma ( Tandabui College ilikuwa maarafu kipindi hicho)Kuna mtu alikuwa anaitwa joseeverst sijui yeye alikuwa anakomenti wa kwanza thread karibu zote
Gen z kama hamumjui mtajua wenyewe