Kuhusu TB Joshua kutabiri kifo cha Bingu ni kweli mazee, kama HUTAKI UNAACHA tena kwenye ibada ya juzi jumapili tarehe 1 alisisitiza kwamba kifo cha huyo raisi kinazidi kukaribia akasema this is not fools day.
Ila kuhusu Lowassa hajawahi kusema, mashabiki wa Lowassa mmeamua kuwaaminisha watu hivyo simply kwa sababu Lowassa ashawahi kwenda kumuona.