Binaurial beats zinazoamsha nafsi yako

Binaurial beats zinazoamsha nafsi yako

honey bee

Senior Member
Joined
Nov 23, 2021
Posts
139
Reaction score
236
Kabla ya kusema chochote naomba kuwafahamisha, mimi sio mganga, sio mama jusi, sio mtabiri, sio mnajimu, simu sheikh bali ni mtu tu kama watu wengine ambaye napenda kujaribu mambo ili kuuthibitisha ukweli wake!

Kuna issue niliwahi kuiskia before, kuwa unaweza kutoka nje ya mwili au kufanya meditation kwa kutuliza nafsi yako kupitia binaurial beats

Je kuna ukweli ndani yake?
Binafsi sijui kwa undani kuhusu binaurial beats, ila ninachokifahamu ni kuwa ni wave mbili za sauti ambazo zinapita kwenye masikio yote mawili zikiwa na frequency tofauti, hivyo ubongo unafanya kuzibalance ziende sawa na waves za ubongo!

Kuna beats ambazo ziko alpha, beta, gamma, theta na nyinginezo ambazo kila moja itakayoingia kwenye ubongo wako, itauvurugua na kuuweka kwenye state itakayoihitaji!

Kiukweli, tokea nimetumia binaurial beats za You Tube kwa jaribio la kutoka nje ya mwili, sikufanikiwa, badala yake zilitengeneza ndoto za Lucid zilizo na nguvu (powerful lucid dreams)

Na ni baadhi yake, make zilizo nyingi hazifanyi kazi
(Tafuta za Mr Theta) kidogo zina uharisia!!

Binaurial beats zenye nguvu ni zile zinazopatikana Play Store, andika binaurial beats kisha fanya chaguo sahihi!! Nitakuja kutengeneza thread nyingine niwaeleze binaurial app moja na nyingine!

Kuna App niliitunia, nilijikuta naota ndoto wakati nimefumbua macho na nilikuwa sijalala, ilivuruga ubongo kiasi kwamba nilianza kuota dk 10 tokea nianze kuzisikiliza! Na pindi niliposinzia tu niliweza kuiamsha nafsi na kwenda mbali zaidi nisikokujua!
Inashangaza!!

Mwanzoni wakati naitumia, ilitengeneza giza kwenye macho pale nilipojaribu ku concentrate pasipo kupapasa macho! Nilijawa na hofu, ni kama vile unaelekea kuwa kipofu, lakini muda sio mrefu wasiwasi uliondolewa! Ni kama nilipigwa nusu kaputi! Zile ndoto za mchana za unaota huku unacheka, unashtuka unalala tena zilikuwa za kawaida!! Sifahamu kama nili undergo Austral Projection, make sikugeuka nyuma kuutazama mwili wangu! Ila nimeenda mbali zaidi ambako sikufahamu binafsi!!

Nitaendelea kuwajuza mengi tu!
Kikubwa uzima!!
 
Kabla ya kusema chochote naomba kuwafahamisha, mimi sio mganga, sio mama jusi, sio mtabiri, sio mnajimu, simu sheikh bali ni mtu tu kama watu wengine ambaye napenda kujaribu mambo ili kuuthibitisha ukweli wake!

Kuna issue niliwahi kuiskia before, kuwa unaweza kutoka nje ya mwili au kufanya meditation kwa kutuliza nafsi yako kupitia binaurial beats

Je kuna ukweli ndani yake?
Binafsi sijui kwa undani kuhusu binaurial beats, ila ninachokifahamu ni kuwa ni wave mbili za sauti ambazo zinapita kwenye masikio yote mawili zikiwa na frequency tofauti, hivyo ubongo unafanya kuzibalance ziende sawa na waves za ubongo!

Kuna beats ambazo ziko alpha, beta, gamma, theta na nyinginezo ambazo kila moja itakayoingia kwenye ubongo wako, itauvurugua na kuuweka kwenye state itakayoihitaji!

Kiukweli, tokea nimetumia binaurial beats za You Tube kwa jaribio la kutoka nje ya mwili, sikufanikiwa, badala yake zilitengeneza ndoto za Lucid zilizo na nguvu (powerful lucid dreams)

Na ni baadhi yake, make zilizo nyingi hazifanyi kazi
(Tafuta za Mr Theta) kidogo zina uharisia!!

Binaurial beats zenye nguvu ni zile zinazopatikana Play Store, andika binaurial beats kisha fanya chaguo sahihi!! Nitakuja kutengeneza thread nyingine niwaeleze binaurial app moja na nyingine!

Kuna App niliitunia, nilijikuta naota ndoto wakati nimefumbua macho na nilikuwa sijalala, ilivuruga ubongo kiasi kwamba nilianza kuota dk 10 tokea nianze kuzisikiliza! Na pindi niliposinzia tu niliweza kuiamsha nafsi na kwenda mbali zaidi nisikokujua!
Inashangaza!!

Mwanzoni wakati naitumia, ilitengeneza giza kwenye macho pale nilipojaribu ku concentrate pasipo kupapasa macho! Nilijawa na hofu, ni kama vile unaelekea kuwa kipofu, lakini muda sio mrefu wasiwasi uliondolewa! Ni kama nilipigwa nusu kaputi! Zile ndoto za mchana za unaota huku unacheka, unashtuka unalala tena zilikuwa za kawaida!! Sifahamu kama nili undergo Austral Projection, make sikugeuka nyuma kuutazama mwili wangu! Ila nimeenda mbali zaidi ambako sikufahamu binafsi!!

Nitaendelea kuwajuza mengi tu!
Kikubwa uzima!!
Kuna sauti zenye frequency flani zinatibu, zinaamsha hali flani kwenye mwili wako.
Dunia na kila kitu its all about vibrations, ukihit kwenye vibration za namna flani, basi kitu flani hutokea.
Nina videos za matibabu ya hawa mapractitioners zinahusiana na mambo ya matibabu ya sauti, meditation, Yoga, chakula, maji, na mambo mengine. Sema siwez zisambaza maana sio zangu.
Kuja moja ina baadhi ya sauti za kurestore mwili, na chanting kadhaa. Uwa siyasikilizi nikifka hapo naruka kwenda mbele kwenye mazungumzo na maelezo
 
Napenda sana instrumentals.sasa nikawa natamani nizitafute nisikilize hizo beats Ila tumeanza kutishana sasa.

Usijaribu kila kitu, hiyo ni kwa ajili ya amani ya moyo wako!

Ukikusudia kuanza michezo hii, hakikisha unajipanga kwanza! Make utakapoanza tu hutotamani kuacha, sema itakutesa sana! Utakuwa unawaona binadamu wenzako kama vile sio level zako tena! Utakuwa kila mara unajiuliza hivi ninaishi au maisha yangu ni ndoto!

Sana sana, utakapoanza kusikiliza beats za kutoka nje ya mwili, kuondoa wasiwasi au kutengeneza ndoto za mamlaka ( lucid)
 

Usijaribu kila kitu, hiyo ni kwa ajili ya amani ya moyo wako!

Ukikusudia kuanza michezo hii, hakikisha unajipanga kwanza! Make utakapoanza tu hutotamani kuacha, sema itakutesa sana! Utakuwa unawaona binadamu wenzako kama vile sio level zako tena! Utakuwa kila mara unajiuliza hivi ninaishi au maisha yangu ni ndoto!

Sana sana, utakapoanza kusikiliza beats za kutoka nje ya mwili, kuondoa wasiwasi au kutengeneza ndoto za mamlaka ( lucid)
Mimi natamani nipate elimu au uwezo wa kuona ulimwengu usioonekana na kuzijua siri.
Nasikia unaweza ukaona ni prado barabarani inatembea kumbe ni fisi, ukamuona pisikali kumbe ni skeleton ndo inatembea. Wanasema kama si member wao ukizijua Siri hizi lazima ufe.

Screenshot_20220329_100116.jpg


Screenshot_20220329_100131.jpg


Screenshot_20220329_100229.jpg


Screenshot_20220329_100110.jpg
 

Usijaribu kila kitu, hiyo ni kwa ajili ya amani ya moyo wako!

Ukikusudia kuanza michezo hii, hakikisha unajipanga kwanza! Make utakapoanza tu hutotamani kuacha, sema itakutesa sana! Utakuwa unawaona binadamu wenzako kama vile sio level zako tena! Utakuwa kila mara unajiuliza hivi ninaishi au maisha yangu ni ndoto!

Sana sana, utakapoanza kusikiliza beats za kutoka nje ya mwili, kuondoa wasiwasi au kutengeneza ndoto za mamlaka ( lucid)
Sijui hata nikuelezeje,hapa mwenyewe Sina amani na hakuna tatizo lolote.kutoka nje ya mwili,hapana kwa sababu nishafanya hilo Jambo na Ni hatari la Hilo la kuondoa wasiwasi ndo lililonivutia.hata hivyo sitafanya kwani bado Kuna kiumbe mbaya anaishi ndani yangu.
 
Kutoka nje ya mwili ni mbaya roho ikikutana na ajali au chochote na ikashindwa kurejea mwili ndo unapotelea huko huko mwili utabaki bila roho ndo ukisikia vifo vya usingizini ndo hivyo, alikuwa mzima ameenda kulala ajamka jumla,maana yake roho yake imekamatwa huko,mkiona hivi msikilimbie kuzika na hata mkizika msifanye arobaini.Roho inarejeshwa kwa maombi mazito au ipo namna ya kufanya Ili kumpokonya Jini makata roho yako ni vita mkimshinda anaiachilia ile roho inarudi kwenye mwili na mtu anaamka na kuwa mzima na maisha yanasonga. Waislamu wanazika wengi hai sababu ya haraka haraka, asubui mchana anafukiwa. Wengi roho zao zinakuwa zimekamatwa.
Mazoezi ya kutoka nje ya mwili usifanye kama huna mbinu ya kujinasua ufanye nini pindi ukikamatwa na mapepo huko
 
Kuna App niliitunia, nilijikuta naota ndoto wakati nimefumbua macho na nilikuwa sijalala, ilivuruga ubongo kiasi kwamba nilianza kuota dk 10 tokea nianze kuzisikiliza! Na pindi niliposinzia tu niliweza kuiamsha nafsi na kwenda mbali zaidi nisikokujua!
Mr hapa ungetwekea hiyo app hapa na wengine tupakuwe, maana raha ya mziki kuucheza nasio kuusikiliza
 
Back
Top Bottom