Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,128
Jamii imejaa uongo,usaliti,zinaa,roho mbaya.
UNATAFUTA MPENZI MWAMINIFU SAWA lakini unamtafutia wapi?utarudi kwenye jamii hiihii iliyojaa usaliti,zinaa,uongo na tamaa.
nani tumlaumu?Tunawalaumu wanawake kuwa si wakuaminika sawa lakini hao ndio mama zetu tunaowaamini,hao ndio shangazi zetu tunaowaamini,hao ndio jirani zetu tunaowaamini,hao ndio bibi zetu tunaowaamini,hao ndio marafiki zetu tunaowaamini,na hawa wote ndio wametuzaa sisi,WANAWAKE hawatuamini sisi kwa usaliti wetu,lakini sisi ndio kaka zao watuaminiao,sisi ndio wajomba zao watuaminiao,sisi ndio baba zao watuaminiao,sisi ndio babu zao watuamiano.
TUSINYOOSHEANE VIDOLE MANA JAMII YENYEWE IMEJAA UCHAFU NA USALITI WA KILA AINA,na tunajidanganya kutafuta watu waaminifu kwenye jamii iliyojaa usaliti.WENGI NI WAAMINIFU KWA MUDA TU.
ni rahisi kusema wanawake ni wasaliti,je ni rahisi kusema "shangazi ni msaliti,mama ni msaliti,dada ni msaliti,bibi ni msaliti"???????
Je ni rahisi wanawake kusema"baba ni msaliti,kaka ni msaliti,babu ni msaliti"??????
UNATAFUTA MPENZI MWAMINIFU SAWA lakini unamtafutia wapi?utarudi kwenye jamii hiihii iliyojaa usaliti,zinaa,uongo na tamaa.
nani tumlaumu?Tunawalaumu wanawake kuwa si wakuaminika sawa lakini hao ndio mama zetu tunaowaamini,hao ndio shangazi zetu tunaowaamini,hao ndio jirani zetu tunaowaamini,hao ndio bibi zetu tunaowaamini,hao ndio marafiki zetu tunaowaamini,na hawa wote ndio wametuzaa sisi,WANAWAKE hawatuamini sisi kwa usaliti wetu,lakini sisi ndio kaka zao watuaminiao,sisi ndio wajomba zao watuaminiao,sisi ndio baba zao watuaminiao,sisi ndio babu zao watuamiano.
TUSINYOOSHEANE VIDOLE MANA JAMII YENYEWE IMEJAA UCHAFU NA USALITI WA KILA AINA,na tunajidanganya kutafuta watu waaminifu kwenye jamii iliyojaa usaliti.WENGI NI WAAMINIFU KWA MUDA TU.
ni rahisi kusema wanawake ni wasaliti,je ni rahisi kusema "shangazi ni msaliti,mama ni msaliti,dada ni msaliti,bibi ni msaliti"???????
Je ni rahisi wanawake kusema"baba ni msaliti,kaka ni msaliti,babu ni msaliti"??????