Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,849
- 2,442
Mbali na kuwa wenyeji na wahusi wa dunia hii lakini tumekuwa kama watwaliwaji watekelezaji wa sanaa za maisha ndani ya dunia yetu,tumekua tukiona visivyo halisi na kufanya yasiyo thabiti je hii tunaweza sema tulikosea wahudumu wetu wakuu ama tuko katika jaribio fulani na je ni vipi siku tukizunduka na kujikuta tulikuwa katika operesheni fulani ya kimajaribio na kila mtu alikuwa katika uhusika fulani,na hata tukajikuta kuwa tuliokuwa tukiishi nao katika familia fulani baasi walikuwa si wanafamilia halisi,..
hili swala tunaweza liepuka mapema kama ni sahihi hiki ni kiini macho sababu kuna wakati mtu unashtuka kabisa kama hauko kunakostahili na hili jambo huwakuta wachache ambao hupita ama kukutwa na upepo mzuri wa taarifa halisi wataalumu huziita (frequency)ambazo hizi salama zikibaatika kukutana nawe basi hushituka japo ni kwa micro one hulf nadhani kwa sekunde moja kisha hufutika kichwani mwako,unaweza kushika maji ukayatizama kwa makini na ukajiuliza keanini yawe maji kwa rangi ile na kila uyahamishapo basi hukimbilia rangi ya mahali yawapo kwanini ya na rangi ya pasina kitu unaweza pata jibu maji na hewa na upepo hayana utofauti kumbe maji ni form ya hewa upepo na hata uhai wetu si ndio?,baasi ni kwanini yawepo mengi na yatunguke kwa ukubwa ardhi yetu ya dunia?,ni nini kinaendelea nyuma ya kiini macho baasi kumbe sisi ni vyakula vilivyo katika mapishi na kituivishacho ni haya maji?,je ni wakina nani hao wapishi waliotuweka ndani ya viini macho..
kuna mda fulani unaweza shtuka ama kukishangaa kitu ambacho unakifahamu katika mazingira ya kila siku lakinj kuna kaupepo kanaweza kukupitia ukakishangaa kile kitu tu ghafla na ukajiuliza mengi mengi sana na ukakijaji kwa vingi na ukahamaki imekuwaje sasa lakini hayo yote hutokea ndani ya sekunde moja ya unusu wake tuu imagine ni iweje unakuwa shapu kiasi hicho na hujisahau pia sekunde chache kutoka hapo,...
wakati mwingine upepo mzuri wa taarifa ukikupitia hubaki umeduwaa kwa hata dakika1 bila kupepesa macho wala kutikisa kidole hata vinyweleo kutulia hili jambo hukurudisha kwenye uhalisia wako natural yako na hapo hujiona ww ulipokuwepo na ulikuwa vipi na unafanya nini sema hili jambo unapomaliza tuu kuzubaa nalo linafutika hapo hapo kumbukumbu labda uje uzipate siku za mbele huko nazo utapuuzia tu kama ilikuwa ndoto....,yawezekana kabisa tukawa na miili hii dhaifu na si chochote lakini tukawa na asili ya viumbe tofauti kabisa walio na ukamilifu madhubuti sana na si kama huu wa nyama ulio na risk kila mahali tukiwa ovyo ovyoo...karibuni......
hili swala tunaweza liepuka mapema kama ni sahihi hiki ni kiini macho sababu kuna wakati mtu unashtuka kabisa kama hauko kunakostahili na hili jambo huwakuta wachache ambao hupita ama kukutwa na upepo mzuri wa taarifa halisi wataalumu huziita (frequency)ambazo hizi salama zikibaatika kukutana nawe basi hushituka japo ni kwa micro one hulf nadhani kwa sekunde moja kisha hufutika kichwani mwako,unaweza kushika maji ukayatizama kwa makini na ukajiuliza keanini yawe maji kwa rangi ile na kila uyahamishapo basi hukimbilia rangi ya mahali yawapo kwanini ya na rangi ya pasina kitu unaweza pata jibu maji na hewa na upepo hayana utofauti kumbe maji ni form ya hewa upepo na hata uhai wetu si ndio?,baasi ni kwanini yawepo mengi na yatunguke kwa ukubwa ardhi yetu ya dunia?,ni nini kinaendelea nyuma ya kiini macho baasi kumbe sisi ni vyakula vilivyo katika mapishi na kituivishacho ni haya maji?,je ni wakina nani hao wapishi waliotuweka ndani ya viini macho..
kuna mda fulani unaweza shtuka ama kukishangaa kitu ambacho unakifahamu katika mazingira ya kila siku lakinj kuna kaupepo kanaweza kukupitia ukakishangaa kile kitu tu ghafla na ukajiuliza mengi mengi sana na ukakijaji kwa vingi na ukahamaki imekuwaje sasa lakini hayo yote hutokea ndani ya sekunde moja ya unusu wake tuu imagine ni iweje unakuwa shapu kiasi hicho na hujisahau pia sekunde chache kutoka hapo,...
wakati mwingine upepo mzuri wa taarifa ukikupitia hubaki umeduwaa kwa hata dakika1 bila kupepesa macho wala kutikisa kidole hata vinyweleo kutulia hili jambo hukurudisha kwenye uhalisia wako natural yako na hapo hujiona ww ulipokuwepo na ulikuwa vipi na unafanya nini sema hili jambo unapomaliza tuu kuzubaa nalo linafutika hapo hapo kumbukumbu labda uje uzipate siku za mbele huko nazo utapuuzia tu kama ilikuwa ndoto....,yawezekana kabisa tukawa na miili hii dhaifu na si chochote lakini tukawa na asili ya viumbe tofauti kabisa walio na ukamilifu madhubuti sana na si kama huu wa nyama ulio na risk kila mahali tukiwa ovyo ovyoo...karibuni......