Mkuu Kwanza niseme sio kuwa hatujaamua kutuma kiumbe ni kuwa hakuna uhakika wa usafiri wa kutuhakikishia usalama wa kutua mar na kuondoka kurejea dunia so bado technology yakusafiri na kurudi haipo kabisa ipo ya kwenda tu nayo ni kwa vyombo ambavyo vikimaliza kazi hulipuka Natamani kuchimba zaidi kwanini hakuna uhakika wa go and return ila sina uhakika kama nikitumia technical language utanielewa...Pili hakuna kiumbe kilichotua mwezini na kurejea dunia Neil Armstrong 1969 hakutua mwezini ile ilikuwa cold war ya Russia na United state yani walikuwa wanatambiana tu na Us aliamua kufake moon landing na mchezo wote ulimalizikia Area 51 Nevada, Kwanini nasema Us haikupeleka mtu mwezini clips za sehemu wanazodai ni mwezeni zina full mapunguzu kama umecheki bendera inapepea ile hali ktk mwezi hakuna atmosphere ni vacuum pili helmet ya Armstrong ili reflect kopa la Pepsi pia reflection za miale mbali mbali zilionekana ni mchezo wa kuigiza tu Hebu waza america waende mwezini 1969 mpaka leo wasiende tena ile hali tech imekuwa advance mara tatu ya miaka io wanaenda, Note science inatanuka na mimi ni mwanasayans natambua ipo siku mwanadamu atatoka kabisa nje ya solar system its matter of time tu, Mambo ya kutamba sasa ile hali technology bado haijakuwa enough kuarchieve ni imagination tu ,Kuwa na imagination ni mwanzo mzuri mana thought(mawazo) ndio huunda kitu(Touchable)