Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Unaweza ukawa Class one na bado ukawa mshamba tu, vipenzi havilingani na haujui wakandarasi na hujui pia companyo zote mkuu.. unajua kwa sehemu , mie circle yangu wapo hao wenye class one na wana gari za kijerumani ja hadi field wanaenda nazo huwezi jua watu woteHahah aisee,nilikua sijui aisee inawezekana hawa top dogs wa class 1 wakawa hawajui magari mazuri ahahah.
eto takaka za mjerumani ππ ...Kwa hio kuna uwezekano hizi top tier co. Zote zikawa na washauri wa aina moja sio?Kule juu hukuona nimekwambia field zimejaa Toyota na Nissan tu.?
Na nilikwambia takataka za ujerumani huko majumbani makwao wanazo wamenunulia wake zao/michepuko lkn hawana habari ya kuja nazo field.
Ford ni workhorseπissue ni policy ya comapny na alie kwenye idara husika, kuna company policy ya idara ya mitambo inaaamini kwenye Ford , kwa swala la kujificha kwenye cost lina ukweli sawa ila pia watu wamekalili.. miaka ya nyuma fatilia kama Ford zilikuwa zinatumika site, ila sasa hivi zimekuwa kawaida kabisaa
Class 1 mshamba?ππππ hiiiiiiiiiiiUnaweza ukawa Class one na bado ukawa mshamba tu, vipenzi havilingani na haujui wakandarasi na hujui pia companyo zote mkuu.. unajua kwa sehemu , mie circle yangu wapo hao wenye class one na wana gari za kijerumani ja hadi field wanaenda nazo huwezi jua watu wote
ila zamani ulikuwa unaziona kama sasa hivi ? mambo yana badirika.. zamani hata hizi gari za ulaya zilikuwa adimu sana, ila sasa hivi watu wanaziona za kawaida tuFord ni workhorseπ
πππ Ninasikitika Sana kuelezewa khs mabadiliko ya tasnia hii.Ila for the sake of kubishana ngoja nikuache tu mzee,,eto takaka za mjerumani ππ ...
Kwenye sector hiyo kuna mabadiriko watu wanafunguka, tanzania au namna ya ukandarasi wa miaka ya 1990 sio sawa na 2021 ukipata tofauti ya hapa utaelewa namaanisha nini
Yeah inategemea na risk appetite ya mhusika katika idara ya logistics na upepo wa hela wa kampuni, hakuna sehemu nimesema kwamba kuna fleet nzima ya mjeruma, ila kila company ina policy zake kwenye issue ya magari na hii inatoka mtu wao au mshauri wao wa mitambo , unategeme nini kama mie nikiwa mkuu wa idara ya mitambo unafikiri nitashauri hizo gari zenu ? Unasemaje wanao tumia sehemu kuwa Ford ? Nissan ? zamani hizi gari hazikuwa zikitumika sana
acha nikutazame tu, kuna class one mafala tu.. huenda tunatofautiana kutazama na exposure so ni lazima tuwe tofauti πππClass 1 mshamba?ππππ hiiiiiiiiiii
Ziko nyingi sana Rangers! Watu wameziamini na wanazitumia inaonekana ni gari Imara japo maintanance yake itakuwa ipo juuila zamani ulikuwa unaziona kama sasa hivi ? mambo yana badirika.. zamani hata hizi gari za ulaya zilikuwa adimu sana, ila sasa hivi watu wanaziona za kawaida tu
Kumbe ulikuwa unabishana π³π³π³πππ Ninasikitika Sana kuelezewa khs mabadiliko ya tasnia hii.Ila for the sake of kubishana ngoja nikuache tu mzee,,
Eeh pale wahuni wana mizigo so sio ishu yani wanamenya tu!Inategemea na circle yako yenyewe Extrovert pale kijiweni miamba hawana huo ujinga wa kujificha kwenye machaka ya gari za kinyonge, sio field na sio town, inatehemea na circle yenu imejengeka kwenye misingi ipi..
Na ndivyo itavyokuwa kwa gari zingine, ni swala la mda tu.. watu wanatoka kwenye utumwa wa kutishwa sijui gari gani kimeo, ni sawa na leo kuna watu wana zikandia sana AutoZiko nyingi sana Rangers! Watu wameziamini na wanazitumia inaonekana ni gari Imara japo maintanance yake itakuwa ipo juu
Kumbe Kuna mafala wenye kumiliki mabilioni?πππ Nilikua sijui aisee.acha nikutazame tu, kuna class one mafala tu.. huenda tunatofautiana kutazama na exposure so ni lazima tuwe tofauti πππ
jamaa huyo anafikiri sijui natoka shimoni, sijui kila kitu ila najua watu wana push vyuma hivi site mipango tu na nature ya field ni tofauti.. ipo siku vyuma vya mjerumani vitatumika kama ist tu, watu wanatoka kwenye hofu na mawazo ya kibabuEeh pale wahuni wana mizigo so sio ishu yani wanamenya tu!
Change is inevitable ila kadri mtu atakavyo experience atajua which is the best! Kuna ambao walihamia kwenye muingereza wakaona costs zinakuja juu sana kwenye running & maintanance kisha waka revert kwa mjapani!Na ndivyo itavyokuwa kwa gari zingine, ni swala la mda tu.. watu wanatoka kwenye utumwa wa kutishwa sijui gari gani kimeo, ni sawa na leo kuna watu wana zikandia sana Auto
Wengi tu, unafikiri kuwa na hela kuna kufanya uwe mjanja πππ kuna ma mbwiga kibaoKumbe Kuna mafala wenye kumiliki mabilioni?πππ Nilikua sijui aisee.
Bima ya NHIF mamaπBima gani hiyo mkuu? naipendaga X6 π§
kinachosumbua ni mtu ajui gari hii iende wapi na ikafanye nini.. gari yoyote haitaki mikono mingi, haijalishi toyota au mjerumani .. polisi wapo rough kila mtu ana uendeshaji wake lazima zife, polisi wa ulaya wanatumia gari gani kwani πππChange is inevitable ila kadri mtu atakavyo experience atajua which is the best! Kuna ambao walihamia kwenye muingereza wakaona costs zinakuja juu sana kwenye running & maintanance kisha waka revert kwa mjapani!
Mfano mzuri ni Polisi Tz! Kuna kipindi walikomaa na ma landrover ila yakawa yanaharibika sana wakatest Landcruiser toka na hapo hawajageuka nyumaπ