Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 366
habari wanajf,nina duka langu la rejareja nataka kulikatia bima,hii kitu ipo bongo?na kampuni ipi nzuri?naomba uzoefu na hata utaalam ktk hili.
nakushauri usikatie katika makampuni ya bima ya serikali kwani incase of claims huwa hayalipi