gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 6,174
- 6,816
NHIF ni mfuko wa bima wa taifa kwaiyo ulitakiwa uwe na wigo mpana zaidi kufikia wananchi walio wengi.kwaiyo hizo changamoto anazosema mdau nizakufanyia kazi sio kuanza kufananisha na vitu vingine.Dogo acha kulalamika sana,
Kwa sheria za NHIF
Dependant ni watoto wako wa kuzaa,
Hizi sheria hufanyiwa mabadiliko kunapokuwa na ulazima,
NHIF wameweka utaratibu mzuri kuwa
Wastáafu,
mzee akistáafu atapewa bima yake special ya kustáafu yeye na mke wake !
Nitajie bima gani ingine inatoa kadi za matibabu kwa watumishi wao walio stáafu kazi
AAR
Jubilee
Strategis
Momentum
Etc