Bima ya Afya hili halijakaa vizuri kabisa

Bima ya Afya hili halijakaa vizuri kabisa

inatakiwa kuwe na mashirika mengi km ilivyo yale ya pension alafu mtu anakuwa huru kuingia kile anachotaka kulingana na ubora wa huduma, sio unikate millions alafu kunihudumia masharti km naomba visa, yaani napatwa na hasira natamani kumeza mtu, we hv to do something kwakweli lasivyo watatuescrow hawa mpaka basi
 
Watu wa Bima ya Afya njooni mtujibu mbona wengi mnapitia hapa semeni huo si uonevu?
 
Back
Top Bottom