Bima ya Afya hili halijakaa vizuri kabisa

Bima ya Afya hili halijakaa vizuri kabisa

Kila uchao Tanzania inaonekana amani yake inachungulia kaburi.

Wanafunzi, wanyakazi, wakulima, wazee vijana na watoto wote wanalalamikia kitu tofauti.
 
Mimi nataka tujadili nini tufanye wakuu dhidi ya wezi hawa safari hii tusiwaachie hata kidogo hawa wamezidi yaani wanaamkaa asubuhi wanakuja na hili kesho watakuja na lingine bila kutupa taarifa.
 
Wakuu tuweke utaratibu tukutane tutengeneze agenda dhidi ya hili genge !!
 
Wakuu tuweke utaratibu tukutane tutengeneze agenda dhidi ya hili genge !!

Kweli mkuu ikibidi tuunde kundi la kigaidi tupambane na hili genge na magenge mengine

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Tukutane wapi.mi nashauri na nawataka vyama vya wafanyakazi kama cwt,tughe,tuico n.k walisemee hili mapema kabla hatujakinukisha.mbona mko kimya nyie kina olouch
 
nilienda pale nhif mwenge ni upuuz mtupu. ckuona mtu aliyehudumiwa vzr na kuondoka na furaha.

bora iwe hiari kujitoa.
 
Mwenye namba ya simu ya Mkurugenzi makao makuu aiweke tuwapandie hewan, Wizi mtupu huduma mbovu mi niulize taratibu za kujitoa.
 
Hapa bado kuna utata no vizuri kama tungeshirikishwa na kutoa maoni yetu lakini wamekurupuka tu na kuweka masharti ya kwao na si ya wanachama vyama vya wafanyakazi visaidie kwa hili.
 
Kweli kabusa wameweka kigezo cha umri kwa wategemezi kuna watu nawajua wana.zaidi ya miaka 6 tangu watika udsm hawana ajira mpaka leo ambao wanekuqa mizigo kwa wazazi sasa leo ukiwaindia ktk bima su kuzudi kueapa mtihani wazazi.

Halafu huli la wategemezi lazima wawe watoto wa kuwazaa hivi hawajui wengine wazazu wai wameshakufa kitambo tangu wakiwa wadogo, na kulelewa na watu wengine ambao si wazazi wao, hawa bima hawatambui kuwa wengine hata wazazi wa kuwazaa hawawajui hawakuwahi hata kuwaona. Pia hawajui kuwa maisha yetu tunaushi na watoto wa mjomba shangazi na mama wadogo n.k,
 
yaani ni uonevu wa hali ya juu pesa yangu halafu mnaeka masharti mnajua yule mdogo wangu mi ndo mama ake mlezi yani mimi nataka nionane na mkurugenzi maana kitendo cha kumtoa mzigo unarudi kwangua acheni hizo

Yan we acha tu mi mwenyewe mhanga wa hili jambo na kibaya sista hana mtoto mwingine
 
Back
Top Bottom