R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,575
Mashirika ya Bima:wajiunga Necta na Vyuo kuhakiki vyeti vya Madreva wanaosababisha Ajali wajilizishe kwenye malipo.
Baada ya zoezi la vyeti kushika kasi ; Mashirika ya BIMA za ajali na majanga : wameanza nao kufuatilia vyeti vya madereva wanaosababisha Ajali ,walioajiliwa kama kweli ni madreva halisi na vyeti vyao ni sahihi vya Necta wakilinganisha na vyuo vya udreva .
wameazimia kuwa wanatuma taarifa za dreva necta kama kweli kamaliza form four . Na chuo alichopita kama kweli kinatambuliwa :
LESENI inakuwa kama Guide tu
Haya yamenikuta baada ya Dreva wa Rafiki yangu kusababisha ajaili ktk kampuni: Kampuni inaidai bima ilipe Gari jipya.
wanasheria hii imekaaje??????????????????????????
Baada ya zoezi la vyeti kushika kasi ; Mashirika ya BIMA za ajali na majanga : wameanza nao kufuatilia vyeti vya madereva wanaosababisha Ajali ,walioajiliwa kama kweli ni madreva halisi na vyeti vyao ni sahihi vya Necta wakilinganisha na vyuo vya udreva .
wameazimia kuwa wanatuma taarifa za dreva necta kama kweli kamaliza form four . Na chuo alichopita kama kweli kinatambuliwa :
LESENI inakuwa kama Guide tu
Haya yamenikuta baada ya Dreva wa Rafiki yangu kusababisha ajaili ktk kampuni: Kampuni inaidai bima ilipe Gari jipya.
wanasheria hii imekaaje??????????????????????????