Billnass certified Clubbin mc

Billnass certified Clubbin mc

cosa nostra

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2010
Posts
1,773
Reaction score
1,809
Since first hit yake hadi sasa bill nass amekua akitoa nyimbo ambazo ukiwa umechoka na mawazo ukizisikiliza tu basi unajisikia fresh ghafla

hii track yake ya sina jambo ni kali sana kama track zake tulivyozizoea

Big up Bill nass kwani baada ya kusikiliza Zimbabwe unahitaji pia kupumzika na kusahau shida kwa minutes.

Saizi mziki wa Bongo umekuampana sana. I love Bongo music I love my Country

Shida ni John na daudi tu.

Sikiliza Sina jambo attached beat kutoka MJ records sio ya kawaida inakupa radha tofauti kabisa na music tuliozoea kuisikia kwa sasa
 

Attachments

Ni kali kwa flows ila full sampling ya beat, melody ni ya "Loyal" ile ya chrisbrown ft. Wayne.

Hawa ma producers wetu inabidi wawe creative zaidi, ku copy ideas kunachosha ingawa wao wanaona ujanja. Bongo flava inabidi ibaki na ID yake ile ile. T.Touch ndio anaipatia hawa wengine wanaharibu mno,
 
True sana mkuu ukijumlisha ni vitu hatari vya Rama Dee kama "Kwa Akili Yangu", "Kipenda Roho" & "Nibebe" kweli siku inapita faster na kusahau Kichapo tunachopewa na Ankole Magu
 
Ni kali kwa flows ila full sampling ya beat, melody ni ya "Loyal" ile ya chrisbrown ft. Wayne.

Hawa ma producers wetu inabidi wawe creative zaidi, ku copy ideas kunachosha ingawa wao wanaona ujanja. Bongo flava inabidi ibaki na ID yake ile ile. T.Touch ndio anaipatia hawa wengine wanaharibu mno,
Kweli mkuu Ila sampling inaruhusiwa kwenye Music, na ukiangalia kaongezea vionjo kadhaa vitamu kusikiliza
 
Dah uzuri wa maisha ni utofauti wa watu ktk vitu mbalimbali,Yan nimeusikiliza wee nasikia tu Sina jambo,Sina jambo kingine cha maana sijasikia,Hana jambo kivip pia haielewek,lakin Kuna mtu anaupenda mpaka kautengenezea thread,bas sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom