Ombeni sefue alisema serikali imetoa billion tatu kwa ajili ya matengenezo ya mashine za muhimbili, nasikia hizi mashine ziko muhimbili tu nchi nzima, kwahiyo hiyo invoice in ya muhimbili tu? hapana CAG PPRA na Takukuru pitieni hii invoice na Zitto ukirudi PAC anzia hapahapa, washatupiga tayari.