Billioni tatu kutengeneza mashine mbili au?

Billioni tatu kutengeneza mashine mbili au?

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
17,080
Reaction score
12,300
Ombeni sefue alisema serikali imetoa billion tatu kwa ajili ya matengenezo ya mashine za muhimbili, nasikia hizi mashine ziko muhimbili tu nchi nzima, kwahiyo hiyo invoice in ya muhimbili tu? hapana CAG PPRA na Takukuru pitieni hii invoice na Zitto ukirudi PAC anzia hapahapa, washatupiga tayari.
 
Ombeni sefue alisema serikali imetoa billion tatu kwa ajili ya matengenezo ya mashine za muhimbili, nasikia hizi mashine ziko muhimbili tu nchi nzima, kwahiyo hiyo invoice in ya muhimbili tu? hapana CAG PPRA na Takukuru pitieni hii invoice na Zitto ukirudi PAC anzia hapahapa, washatupiga tayari.

Zitto na PAC tena leo?!!! Alafu alisema mashine zile mbili na sehwmu nyingine nchini si muhimbili tu.
 
Ombeni sefue alisema serikali imetoa billion tatu kwa ajili ya matengenezo ya mashine za muhimbili, nasikia hizi mashine ziko muhimbili tu nchi nzima, kwahiyo hiyo invoice in ya muhimbili tu? hapana CAG PPRA na Takukuru pitieni hii invoice na Zitto ukirudi PAC anzia hapahapa, washatupiga tayari.

Mbona unaandika kama umehadithiwa
 
Ombeni sefue alisema serikali imetoa billion tatu kwa ajili ya matengenezo ya mashine za muhimbili, nasikia hizi mashine ziko muhimbili tu nchi nzima, kwahiyo hiyo invoice in ya muhimbili tu? hapana CAG PPRA na Takukuru pitieni hii invoice na Zitto ukirudi PAC anzia hapahapa, washatupiga tayari.

Be the first to write.
 
Ombeni sefue alisema serikali imetoa billion tatu kwa ajili ya matengenezo ya mashine za muhimbili, nasikia hizi mashine ziko muhimbili tu nchi nzima, kwahiyo hiyo invoice in ya muhimbili tu? hapana CAG PPRA na Takukuru pitieni hii invoice na Zitto ukirudi PAC anzia hapahapa, washatupiga tayari.

sidhani kama ni za mashine tu nadhani ni pamoja na servise zingine ili hali ya hosp itengamae kiasi baada ya hapo ndio mikakati mingine iendelee
 
Ombeni sefue alisema serikali imetoa billion tatu kwa ajili ya matengenezo ya mashine za muhimbili, nasikia hizi mashine ziko muhimbili tu nchi nzima, kwahiyo hiyo invoice in ya muhimbili tu? hapana CAG PPRA na Takukuru pitieni hii invoice na Zitto ukirudi PAC anzia hapahapa, washatupiga tayari.

Mkuu meza kwanza hilo andazi unalokula halafu uje uandike vizuri
 
Sikiliza au rudia ile video hata mara sita ili umwelewe penye ukweli sema ukweli alisema 3millions sio 3billions. Ila Sefue hafai hata kidogo kwenye hiyo nafasi. Anatuongezea hasira bure. Kipindi chake na Kikwete ikulu ilikuwa na kashfa nyingi sana utakumbuka issue ya CK wa Wema Sepetu na Kajala alikuwa anamwaga pesa chafu na kutumia jina la ikulu lkn. sefue wala Kikwete walikuwa kimya. Unakumbuka issue ya Mnikulu aliewajibu tume ya maadili kuwa yeye anayo pesa chafu ya kuweza kuilisha Tanzania kwa wiki nzima na kila mfuko wake ni pesa. Lakini Sefue, Kikwete walikaa kimya.
 
Mr President hana muda wa kuhoji mambo ya pesa saa hizi wagonjwa hawatibiwi wanagalagala chini Muhimbili kwa sababu kifaa tiba kibovu kwanini kisa hakuna pesa za kuwalipa mafundi kaamrisha zitolewe pesa Hazina kwa ajili kutengeneza hivyo vifaa.
kazi ya kuhoji zimetumika vipi atakuja mkaguzi mkuu wa serikali ndiyo kazi yake.
kwanza okoa maisha ya
Leo MRI imetengenezwa siku mbili baada ya kutolewa pesa na baada ya miezi miwili kuwa mbovu!!
 
Siyo vibaya kuhoji matumizi ya hela zetu. Maana bei ya MRI mashine mpya kama hiyo ni kama $300,000 - 400,000. TZS bilioni 3 ingeweza kununua mashine 3-5 mpya
 
Kuna ubaya gani kuhoji matumizi ya hela zetu?
 
Hakuna ubaya wa kuhoji pesa za umma zimetumika vipi ila kuna utaratibu wa kuhoji hayo matumizi ya hizo pesa basi hebu ufate huo utaratibu. kwa sasa mimi kila kitu katika kutatua swala hili la kuharibika na kutengeneza vifaa tiba kwangu linaenda sawa sawa kuanza kuhoji mambo ya pesa ni baadae.

#SASA KAZI TUU#
 
sefue alisema milioni tatu wewe hizo bilioni umezitoa wapi.
 
Back
Top Bottom