Aaaaahahaa bongo hamna barabara za kuendeshea gari kama hili,hivi vitu vya mamtoni tu unakua na mupenzi mnatoka out au kwenye ufukwe vile barabara zilijengwa kwa kiwango - lami plus zege barabara haina mabonde kama hio morogoro road....
ANGALIZO:kuna magari mengine ukinunua bongo ni kujitesa tu kwa barabara hizi zisizo na viwango ni majanga imagine mvua ikinyesha haka kagari hakatoki teehteeh.