ElevateYourLife
Member
- Mar 21, 2022
- 28
- 27
Couldn't agree more.Ufatilii mzik ww!!kuna chart za uingereza za afrobeat toka zimeanza kutoka hzo chart cjawah ona ngoma ya east africa,tunadanganyana tu mzik wetu bado sana
Couldn't agree more.Ufatilii mzik ww!!kuna chart za uingereza za afrobeat toka zimeanza kutoka hzo chart cjawah ona ngoma ya east africa,tunadanganyana tu mzik wetu bado sana
Tatizo pia mziki wetu hauna Utambulisho tunaimba midundo yyte ilimradi unatrend sehemu zingine.Afrobeat ni mziki wa West Africa. Ningeshangaa kuona watu wasio wawest africa kuwa kwenye hiyo list.
Siku kukiwa na chart ya bongo fleva nitashangaa kuona wawest africa humo.
Endeleeni kuimba amapiano au kama wanaija mkidhani mnaenda global kumbe mnaonekana kituko tu. Huwezi kushindana na mtu kwenye uwanja wake wa nyumbani ukamshinda it's that simple.
Tatizo pia mziki wetu hauna Utambulisho tunaimba midundo yyte ilimradi unatrend sehemu zingine.
Kuna wasanii wengi wakubwa toka Ghana, South Africa na Kenya hawapo kwenye hiyo list. Ni suala la upendeleo wamefanya nahisi sababu ni wanaijeria wanaoandaa hiyo list.
Umeshangaa, jinsi ivyouliza inaonyesha umeshangaa lakini all in all swali la kujiuliza je nchi zote za Africa hazijui muziki? Africa ina nchi 54 na kwa nini Wapopo ndiyo wazitawale chats? Issue si Tanzania peke yake bali nchi zote zilizokosekana kwenye hiyo chart.Sijashangaa, nimeuliza..
Mpaka ameifuatilia hiyo orodha ina maana hilo analijua, Wapopo wanaoishi Marekani ndiyo wanaoandaa hiyo chart.Waanzilishi wa hiyo idea Ni wanaijeria. Think about it again.