Billbass - Tatizo

Billbass - Tatizo

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,284
Reaction score
39,509
Leo nmetulia siku nzima naisikiliza hii ngoma ya nenga aka mafioso. Hii ngoma ni kalia sana jamaa kaimba kwa hisia sana[emoji91][emoji119]

“Twende na mashairi”
Sio, sio kwamba mi nina wivu hivyo
Ila tatizo kwamba ulileta maringo
Ukashindwa geuza shingo 
Sababu sikuwa na mingle

Ukanikana mbele ya wana ukaleta mazingzong
Kule, Kinondoni Moscow, life changamoto
Ughetto moja local, unadai ilivyo joto
Mapenzi kweli nyoso, ukaniacha kwenye msoto

Ukataka toka na vibopa (Masonko)
Nikakosa pambio, mtoto wa ghetto
Ukanifanya mpaka nikaonekana mental
Pindi nadanda danda mambo hayajasettle

Si ulitaka taka mali
Na mengine visizo na hali
Ndo sababu haukuenda mbali
Na mi rudi na hizo mali

Si ulitaka taka mali
Ukaniona choka mbaya
So ukiniona mimi tena
Naomba ukar kae mbali

Tatizo ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Na reason ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Tatizo, tatizo, tatizo, Tatizo, tatizo, tatizo
Dada tatizo

Naskia stori kibao, mama walo kibao
Na wenye hela kibao
Sa mbona umeachana nao, hao walionizidi kete
Wamekuwacha mpweke tatizo we kicheche
Na ladha we sahau

Nilivovisha kete naskia we ulicatch
Unataka tu mabeste haiwezekani eeh
Hatuwezi hata kumeet, unataka kurevenge
Hapana mama siwezi

Najua we una myo pia we una nafsi
Ulinipenda ila ulishindwa tu kubaki
We una moyo pia we na nafsi
Mahitaji yako sikutimiza kwa wakati

Ulitaka taka mali
Na mengine visizo na hali
Ndo sababu haukuenda mbali
Na mi rudi na hizo mali

Ulitaka taka mali
Ukaniona choka mbaya
So ukiniona mimi tena
Naomba ukar kae mbali

Tatizo ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Na reason ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Tatizo, tatizo, tatizo, Tatizo, tatizo, tatizo
Dada tatizo
Mpya…mpya…
Tatizo ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Na reason ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Tatizo, tatizo, tatizo, Tatizo, tatizo, tatizo
Dada tatizo
 
Leo nmetulia siku nzima naisikiliza hii ngoma ya nenga aka mafioso. Hii ngoma ni kalia sana jamaa kaimba kwa hisia sana[emoji91][emoji119]

“Twende na mashairi”
Sio, sio kwamba mi nina wivu hivyo
Ila tatizo kwamba ulileta maringo
Ukashindwa geuza shingo 
Sababu sikuwa na mingle

Ukanikana mbele ya wana ukaleta mazingzong
Kule, Kinondoni Moscow, life changamoto
Ughetto moja local, unadai ilivyo joto
Mapenzi kweli nyoso, ukaniacha kwenye msoto

Ukataka toka na vibopa (Masonko)
Nikakosa pambio, mtoto wa ghetto
Ukanifanya mpaka nikaonekana mental
Pindi nadanda danda mambo hayajasettle

Si ulitaka taka mali
Na mengine visizo na hali
Ndo sababu haukuenda mbali
Na mi rudi na hizo mali

Si ulitaka taka mali
Ukaniona choka mbaya
So ukiniona mimi tena
Naomba ukar kae mbali

Tatizo ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Na reason ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Tatizo, tatizo, tatizo, Tatizo, tatizo, tatizo
Dada tatizo

Naskia stori kibao, mama walo kibao
Na wenye hela kibao
Sa mbona umeachana nao, hao walionizidi kete
Wamekuwacha mpweke tatizo we kicheche
Na ladha we sahau

Nilivovisha kete naskia we ulicatch
Unataka tu mabeste haiwezekani eeh
Hatuwezi hata kumeet, unataka kurevenge
Hapana mama siwezi

Najua we una myo pia we una nafsi
Ulinipenda ila ulishindwa tu kubaki
We una moyo pia we na nafsi
Mahitaji yako sikutimiza kwa wakati

Ulitaka taka mali
Na mengine visizo na hali
Ndo sababu haukuenda mbali
Na mi rudi na hizo mali

Ulitaka taka mali
Ukaniona choka mbaya
So ukiniona mimi tena
Naomba ukar kae mbali

Tatizo ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Na reason ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Tatizo, tatizo, tatizo, Tatizo, tatizo, tatizo
Dada tatizo
Mpya…mpya…
Tatizo ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Na reason ni kwamba, nimeanza na ukurasa mpya
Tatizo, tatizo, tatizo, Tatizo, tatizo, tatizo
Dada tatizo
Aisee hawa watu wamefikaje JF?
 
Back
Top Bottom