Bill of Cost inaandaliwaje?

maramia

JF-Expert Member
Jul 17, 2015
2,030
1,344
Kwa mfano mimi bwana X kama nilifungua shauri la mgogoro wa shamba No. 2/2016 dhidi ya bw Y katika baraza la ardhi na nyumba la kata ya Ibisabageni wilaya ya Sengerema nikashindwa kesi lakini nikakata rufaa No. 4/2017 katika baraza la wilaya ya Geita ambako nilishinda.

Lakini bw Y baada ya kushindwa Geita hakuridhika naye akakata rufaa No. 6/2018 katika mahakama kuu ya Geita na baada ya shauri letu kusikilizwa pia nikamshinda.

Je shauri hilo likirudishwa wilayani Sengerema ili niandae Bill of Cost kudai gharama zangu za kesi nitaandikaje heading ya madai i.e Arising from ........

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Bill of cost

Ni zile gharama ambazo upande wowote wa shauri umetumia(applicant vs respondent au plaintiff vs defendant.

Kama katika maombi yako (prayers) haukuomba cost mahakama haiwez kukuupa.

Hivyo basi kama mahakama imekupa ushindi with cost upo kwenye mstari sahihi wa kuomba cost

Kwa maelekezo sahihi njoo pm
 
Aiseee hii kazi sio yako! Achana nayo!

Ni sawa na kuja mtandaoni kuulizia procedures za kupasua ubongo!

Acha kabisa! ACHA ACHA ACHA!

ACHA UKISHOKA.
 
Hii kitu imekaa kimaandishi sana na itahitaji wataalamu wa maswala ya sheria kukupa msaada maana ndio mambo yao haya. So mtafute mwanasheria mwenye experience akupe muongozo mkuu.
 
Back
Top Bottom