Bill Clinton awa kivutio kwenye msiba wa Mohammed Ali

Bill Clinton awa kivutio kwenye msiba wa Mohammed Ali

sinafungu

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2010
Posts
1,527
Reaction score
868
Rais huyu wa zamani ameonekana amekuwa kivutia ktk tamasha la kumuaga bondia nguli MOHAMEDI ALI..

Lakini si hivyo tu, kati ya watoa mada mmoja aliyepata fursa ya kuzungumzia maisha ya ALI alipeleka ujumbe moja kwa moja kwa wananchi ukipitia kwa BW CLINTON, kwenda kwa mama Clinton kama vile yule mama tayari ni raisi.

Je, inawezekana msiba ule kutumika kama kumkampenia yule mama?
 
Ktk maraisi wa marekani Clinton nilikuwa nampenda sana, Alikuwa mpenda amani..
 
Let us know the source of your information please!!
 
Back
Top Bottom