Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Kwa taarifa nilizozipata kupitia chanel 10 muda mfupi uliopita ktk kipindi kilichokuwa na mada inayosema tathimini ya mjadala wa bajeti 2012, Viongozi wastaafu serikalini ambao bila shaka ni maraisi wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu wametengewa sh bilioni 8 wakati hospitali kubwa za serikali zimetengewa sh bilioni 5 tu.
Katika jambo lililonishangaza zaidi ni pale mshiriki wa kipindi aliposema kuwa miongoni mwa viongozi hao wastaafu ni pamoja na Edward lowassa.
Sasa swali hapa ni je Edward Lowassa alijiuzulu au alistaafu?Au utaratibu ukoje kwa anayejua?
Kituko kingine cha kuumiza ni nani muhimu wanasiasa wastaafu au ni huduma za afya kwa umma wa watanzania?
Hivi ile hoja ya mh.Mnyika kuhusu udhaifu na kwa mambo kama haya kwanini watu wasiamini kuwa kuna udhaifu?
Hivi hii ni serikali gani isiokuwa na uwezo wa kupanga vipaumbele?
Kwa mambo kama haya unatarajia migomo itaisha nchii hii wakati watu wanaona,wanasikia na kusoma yanayotendeka serikalini?
Hivi watu wakigoma ni kweli wanashawishiwa na vyama vya upinzani au wanashawishiwa na mipango mibovu ya serikali?
Chama legelege huzaa serikali legelege na bunge legelege.
Katika jambo lililonishangaza zaidi ni pale mshiriki wa kipindi aliposema kuwa miongoni mwa viongozi hao wastaafu ni pamoja na Edward lowassa.
Sasa swali hapa ni je Edward Lowassa alijiuzulu au alistaafu?Au utaratibu ukoje kwa anayejua?
Kituko kingine cha kuumiza ni nani muhimu wanasiasa wastaafu au ni huduma za afya kwa umma wa watanzania?
Hivi ile hoja ya mh.Mnyika kuhusu udhaifu na kwa mambo kama haya kwanini watu wasiamini kuwa kuna udhaifu?
Hivi hii ni serikali gani isiokuwa na uwezo wa kupanga vipaumbele?
Kwa mambo kama haya unatarajia migomo itaisha nchii hii wakati watu wanaona,wanasikia na kusoma yanayotendeka serikalini?
Hivi watu wakigoma ni kweli wanashawishiwa na vyama vya upinzani au wanashawishiwa na mipango mibovu ya serikali?
Chama legelege huzaa serikali legelege na bunge legelege.