Tetesi: Bilionea Chief Godlove kuchangia Bilioni 50 kampeni za CCM

Tetesi: Bilionea Chief Godlove kuchangia Bilioni 50 kampeni za CCM

Bilionea tokea Pande za Kyela ameahidi kuchangia Chama Chetu kwa 50 b TZS ili kufanikisha kampeni za CCM mwaka huu
Kwanini asitende wema kwa kuistawisha Kyela ambayo iko vibaya ki miundombinu. Kyela mjini hapako vizuri panahitaji ukarabati mkubwa wa mitaa na taa za mitaa.
Anazipeleka CCM si kwa sababu mungu wake ni wa CCM bali kwa sababu zitarudi kupitia msamaha wa kodi.
 
Kwanini asitende wema kwa kuistawisha Kyela ambayo iko vibaya ki miundombinu. Kyela mjini hapako vizuri panahitaji ukarabati mkubwa wa mitaa na taa za mitaa.
Anazipeleka CCM si kwa sababu mungu wake ni wa CCM bali kwa sababu zitarudi kupitia msamaha wa kodi.
Hana hio Hela uyo jamaa
 
Kwanini asitende wema kwa kuistawisha Kyela ambayo iko vibaya ki miundombinu. Kyela mjini hapako vizuri panahitaji ukarabati mkubwa wa mitaa na taa za mitaa.
Anazipeleka CCM si kwa sababu mungu wake ni wa CCM bali kwa sababu zitarudi kupitia msamaha wa kodi.
Unampangia mtu matumizi ya pesa zake,we fala nini!?
 
Kwanini asitende wema kwa kuistawisha Kyela ambayo iko vibaya ki miundombinu. Kyela mjini hapako vizuri panahitaji ukarabati mkubwa wa mitaa na taa za mitaa.
Anazipeleka CCM si kwa sababu mungu wake ni wa CCM bali kwa sababu zitarudi kupitia msamaha wa kodi.
Kwahiyo umeamini huo upuuzi?
 
Huyu si yule anayeruka na machopa, na juzi slienda Kyela na msafara wa magari miatano, wanasema wakati gari lake limefika Kyela gari la mwisho lilikuwa Uporoto kutokana na urefu wa foleni yake.
Mnyakyusa hata akiwa na pesa anaonekana kama JOTI tu. Sijui wanakuaje wale jamaa
 
Back
Top Bottom