Peter maicko
Member
- Jul 21, 2012
- 12
- 2
Katika ile kesi inayomkabili sheikh ponda ambayo kwa sasa inaendelea kwa kutoa utetezi kwa upande wa washitakiwa,juzi alisimama mzee mmoja aitwae bilal waikela ktk kutoa ushahidi kwa upande wa mshitakiwa.
Mzee huyo mwenye mvi zenyekuonesha kiasi ya chumvi aliyokula alielezea historia fupi juu ya kiwanja cha chang"ombe na bakwata.
Pia alimuelezea mwalimu nyerere juu harakati zake za kuivunja EAST AFRICA MUSLIM SOCIAL WELFARE na kuunda BAKWATAA kama chombo cha Waislamu tz.kwa ufupi ameelezea mengi kuhusu bakwata,serikali na Nyerere.
Nahisi ni bora tukamjua ni nani,anamchango ganiktk kutafuta uhuru na undani ndani wa uwepo wa bakwata na wanachodai waislam juu ya mchango wao ktk uhuru wa nchi wa shutuma zao juu ya serikali zote zilizopita tangu ukolon mpaka uhuru.
Swali la msingi NI NANI BILaL WAIKELA
Mzee huyo mwenye mvi zenyekuonesha kiasi ya chumvi aliyokula alielezea historia fupi juu ya kiwanja cha chang"ombe na bakwata.
Pia alimuelezea mwalimu nyerere juu harakati zake za kuivunja EAST AFRICA MUSLIM SOCIAL WELFARE na kuunda BAKWATAA kama chombo cha Waislamu tz.kwa ufupi ameelezea mengi kuhusu bakwata,serikali na Nyerere.
Nahisi ni bora tukamjua ni nani,anamchango ganiktk kutafuta uhuru na undani ndani wa uwepo wa bakwata na wanachodai waislam juu ya mchango wao ktk uhuru wa nchi wa shutuma zao juu ya serikali zote zilizopita tangu ukolon mpaka uhuru.
Swali la msingi NI NANI BILaL WAIKELA