Huo ndo ukweli.Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...[emoji23][emoji23]
Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano
"ubingwa wa kombe la shirikisho ni sawa na level ya hatua ya makundi CHAMPIONS LEAGUE"Kauli za wakosaji hizo. kikombe kikija watasemaje sasa?
Simba na yanga zote zimefika fainali kwa bahati,, hakuna katika hizo timu mbili iliyokua na malengo hayo mwanzoni wa msimu...Tunaambiwa Simba iliwahi kucheza fainali 1993,,, nayo pia ilikua ni bahati.
Nmekulia frolida mkuu...hapa TZ nmekuja 2021Mswahili mtupu
Ni kupambana mkuu... hakunaga bahatiSimba na yanga zote zimefika fainali kwa bahati,, hakuna katika hizo timu mbili iliyokua na malengo hayo mwanzoni kwa msimu....
Neither of themNataka kujua kama wewe ni JK au Mzee manara na km sio sihangaiki nawewe tena
[emoji23][emoji23]Wachunga mbuzi huwa wana akili basi!?View attachment 3319696
Tecno za huku ....sio kama za huko Africa......huku Tecno ni bei kuliko iPhone na wajukuu zakeUnaishi UK na unatumia TECNO KG5J!!!?? Acha kuchekesha umma...badilisha sim kwanza mwiko nyuma.
Tekno ni ghali sana huku ...by the way ....hii ilitolewa order Toka kiwandaniUghaibuni ya wapi hiyo wanayotumia Tecno toleo la zamani hivyo!!??View attachment 3319727
Hajui bebe wako ni simba.Sasa si umesema nikuite mbwa jamaniiiii...pole mtani
Nakutafutia mwalimu [emoji3][emoji3]akufundisheNi Joanah Ndio ntoto nzuri....mimi sijui kubet nacheza kindege tu[emoji23]
Ebu tutofautishie mkuuTofautisheni mafanikio(Yanga) maemdeleo na muendelezo(Simba).
Hapa tulio na D mbili tutaelewana
Kipato kinaruhusu....vp kama ntawachukua nyie wote Joanah na Joannah [emoji32][emoji32]
Abiola cupSimba tunacheza fainali ya pili. Hii tunabeba maana tumechoka kucheza fainali kila siku.