Bila viza

Bila viza

believer

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
639
Reaction score
216
wadau naomba mwenye exposure juu ya nchi zipi mtanzania anaweza kwenda au kuingia huko bila kuwa na viza.Najua kama mtanzania unaingia nchi za uganda na kenya kibiashara au vacation unahitaji passport tu,sasa nifahamisheni ni nchi zipi zingine?
 
South Africa, ila nafikiri kwa scandal za madawa ya kulevya watarudisha soon.
 
ule muhuri unaogongewa kuonyesha unakaa muda gani ndio visa yenyewe. hivo japo una passport lakin visa unagongewa mpakan.
visa ni kibali unachogongewa kwenye passport kukuruhusu kuingia nchi ya kigeni na kuonyesha utakaa kwa muda gani.

hivo bado ukiingia ug na kenya unagongewa visa mpakani
 
Unaweza kwenda nchi yoyote iliyo katika jumuia ya Africa Mashariki na nchi za SADCC zote bila kuhitaji viza inayobandikwa kwenye pasport bali utagongewa muhuri tu wa kukuruhusu kuingia na kukakaa siku 30.
 
Unaweza kwenda nchi yoyote iliyo katika jumuia ya Africa Mashariki na nchi za SADCC zote bila kuhitaji viza inayobandikwa kwenye pasport bali utagongewa muhuri tu wa kukuruhusu kuingia na kukakaa siku 30.

kwa RSA ni 90 days in a year
 
Back
Top Bottom