Bila mikakati ya kukuza mapato ya serikali ahadi zote ni uongo

Bila mikakati ya kukuza mapato ya serikali ahadi zote ni uongo

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
Ahadi za CCM na rais kuhusu huduma bure za Afya, kuruhusu maiti, kununua matrekta nk ni ahadi nzuri sana.

Lakini ahadi zote hazina maneno kwa namna gani tutapata fedha za kuweza kuwezesha ahadi zote hizi. Aidha ahadi ya kuepuka kupunguza mikopo mikubwa ya nje, inaenda kuwa supported na nini, kupunguza matumizi ya serikali au kuongeza maoato ya serikali.

Natamani kupata mdahalo na hawa wagombea ili tuulizane kuhusu mikakati.
 
Ahadi za CCM na rais kuhusu huduma bure za Afya, kuruhusu maiti, kununua matrekta nk ni ahadi nzuri sana. Lakini ahadi zote hazina maneno kwa namna gani tutapata fedha za kuweza kuwezesha ahadi zote hizi. Aidha ahadi ya kuepuka kupunguza mikopo mikubwa ya nje, inaenda kuwa supported na nini, kupunguza matumizi ya serikali au kuongeza maoato ya serikali.

Natamani kupata mdahalo na hawa wagombea ili tuulizane kuhusu mikakati.

 
Mapato ?!!!! Tangu lini shida ya hii nchi ikawa mapato na sio matumizi au ufujaji...


 
Tatizo la Tanzania sio mapato ila matumizi yasiyo na tija ie mwenge, misafara, ununuzi wa magari pre order Kila mwaka n.k
 
Ahadi za CCM na rais kuhusu huduma bure za Afya, kuruhusu maiti, kununua matrekta nk ni ahadi nzuri sana. Lakini ahadi zote hazina maneno kwa namna gani tutapata fedha za kuweza kuwezesha ahadi zote hizi. Aidha ahadi ya kuepuka kupunguza mikopo mikubwa ya nje, inaenda kuwa supported na nini, kupunguza matumizi ya serikali au kuongeza maoato ya serikali.

Natamani kupata mdahalo na hawa wagombea ili tuulizane kuhusu mikakati.
Ni mwongo na mkopaji na fisadi na kuua tu hana lingine. Mpaka sasa kuna mradi kaasisi yeye ..? Na sera zake kuna maono kweli..?
 
Mapato ?!!!! Tangu lini shida ya hii nchi ikawa mapato na sio matumizi au ufujaji...


Mapato ni shida kubwa sana. Inashauriwa nchi inayoendelea kukusanya walau 15% ya GDP, sisi tunakusanya less than 14%, nenda kaangalie ukurasa wa mwisho wa bajeti ya serikali utaona hiyo tax to GDP ratio
 
Mapato ni shida kubwa sana. Inashauriwa nchi inayoendelea kukusanya walau 15% ya GDP, sisi tunakusanya less than 14%, nenda kaangalie ukurasa wa mwisho wa bajeti ya serikali utaona hiyo tax to GDP ratio
Tunashauriwa na nani na zinakusanywa ili zifanye nini ? Kama tunakusanya asilimia moja na tunatumia yote kwa maisha ya mwananchi it is all good kama tunakusanywa asilimia 100 na yote inatafunwa hakuna sababu hata ya kuikusanya bora tuwaachie hao mafukara waitumie (as hakuna msaada tunaowapa)

 
Tunashauriwa na nani na zinakusanywa ili zifanye nini ? Kama tunakusanya asilimia moja na tunatumia yote kwa maisha ya mwananchi it is all good kama tunakusanywa asilimia 100 na yote inatafunwa hakuna sababu hata ya kuikusanya bora tuwaachie hao mafukara waitumie (as hakuna msaada tunaowapa)

Wanaoshauri kuhusu kiwango cha kodi cha kukusanya ni IMF, Tax to GDP ratio ni kama gauge ya kujua uko vizuri kiasi gani kwenye kukusanya mapato yako.

Hoja ya kuondoa matumizi yasiyo nalazima iko vyema, lakini je, nani yuko tayari kupunguza matumizi?
 
Hahaha, Mikakati si ndiyo wanafanya kina Rosti tamu na wenzake nyie hamuitaki.
 
Ahadi za CCM na rais kuhusu huduma bure za Afya, kuruhusu maiti, kununua matrekta nk ni ahadi nzuri sana.

Lakini ahadi zote hazina maneno kwa namna gani tutapata fedha za kuweza kuwezesha ahadi zote hizi. Aidha ahadi ya kuepuka kupunguza mikopo mikubwa ya nje, inaenda kuwa supported na nini, kupunguza matumizi ya serikali au kuongeza maoato ya serikali.

Natamani kupata mdahalo na hawa wagombea ili tuulizane kuhusu mikakati.
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake ikikatika pole yake anatafuta nyingine
 
Wanaoshauri kuhusu kiwango cha kodi cha kukusanya ni IMF, Tax to GDP ratio ni kama gauge ya kujua uko vizuri kiasi gani kwenye kukusanya mapato yako.
Moja ukisikia IMF wanakushauri au wanakwambia ufanye hiki au kile kimbia kilomita za kutosha..., Hivi ulishajiuliza

Hoja ya kuondoa matumizi yasiyo nalazima iko vyema, lakini je, nani yuko tayari kupunguza matumizi?
Hayo matumizi yanasaidia nini mbangaizaji ? Hivi unajua ni kiasi gani kinatumika katika ufujaji ? Na sasa hivi unajua ni makusanyo mangapi yanapatikana na kufujwa ?!!! Afrika tatizo kubwa ni moja tu (Ubinafsi na Corruption)
 
Mikakati ni kuongeza tozo tu
Kukusanya kodi vyema hakuna uhusiano na kuongeza tozo. Kuna uboreshaji wa sheria ili kudhibiti ukwepaji kodi, kuna kuondoa misamaha ya kodi isiyo na tija mathalani madini na rasilimali hazihitaji msamaha wa kodi, nk
 
Moja ukisikia IMF wanakushauri au wanakwambia ufanye hiki au kile kimbia kilomita za kutosha..., Hivi ulishajiuliza


Hayo matumizi yanasaidia nini mbangaizaji ? Hivi unajua ni kiasi gani kinatumika katika ufujaji ? Na sasa hivi unajua ni makusanyo mangapi yanapatikana na kufujwa ?!!! Afrika tatizo kubwa ni moja tu (Ubinafsi na Corruption)
Unaweza kuwa unafikiri vyema, lakini jiulize nchi inatengeneza kwa mfano trilioni 400 kama GDP ambapo wewe kama mkusanya kodi unapata trilioni 4 kama kodi ambayo ni 1%. Je utakuwa umekusanya kodi inavyopaswa kwa kuangalia ukubwa wa kinachozalishwa ndani ya nchi yako?

Aidha kuhusu serikali kuchapisha pesa, unaweza kumcheki mtoto wowote wa kidato cha sita wa HGE au EGM anaweza kukuelezea vizuri na kukupa mifano mingi mizuri.
 
Unaweza kuwa unafikiri vyema, lakini jiulize nchi inatengeneza kwa mfano trilioni 400 kama GDP ambapo wewe kama mkusanya kodi unapata trilioni 4 kama kodi ambayo ni 1%. Je utakuwa umekusanya kodi inavyopaswa kwa kuangalia ukubwa wa kinachozalishwa ndani ya nchi yako?
Matumizi yanayofanyika ya hayo makusanyo ni yapi na kuna vyanzo vingapi ambavyo Tanzania inavyo pengie hakuna ? Au nikutajie nchi ambazo hazina hata Income Tax; Unaongelea Tanzania haikusanyi wakati kuna zaidi ya triple taxation yaani hadi ukipoteza kitu kutoa tu report bado unalambwa TOZO
Aidha kuhusu serikali kuchapisha pesa, unaweza kumcheki mtoto wowote wa kidato cha sita wa HGE au EGM anaweza kukuelezea vizuri na kukupa mifano mingi mizuri.
Ni hapo ambapo watu wanapotoka na kuna kitu wanashindwa kufahamu pitia Modern Monetary Theory katika Age ya FIAT Currency...

Modern Monetary Theory (MMT) is a heterodox economic framework describing how government finances spending in a fiat currency economy. Key tenets include that a sovereign currency-issuing government with a floating exchange rate does not need to tax or borrow before spending, as it can create new money via its central bank. The real constraint on government spending is the capacity of the economy to absorb it without causing inflation, and taxation is the primary tool to control inflation and manage demand.

Kwa ufupi miradi ambayo ni ya ndani inatumia nguvu kazi za ndani kulipa mishahara watu wa ndani kuliko kukopa na kuja kulipa RIBA kupitia huyo huyo mlalahoi unaweza ukaprint hizo CASH na baadae miradi hiyo return yake ikaleta balance kwahio deni likawa ni kama umekopa wananchi wako (wamekukopesha) By the way hata USA iliprint pesa katika ku fadhili vita (Civil Wars) Na sasa hivi inatuchezesha Desi Dunia kwa kufanya hilo hilo (welcome to the Word of FIAT Currency)

By the way ulishajiuliza kwanini JAPAN wana Defeceit kubwa ?!! Ni kwamba badala ya kufuata ushauri wa IMF wa kukopeshwa na kuchukua mikopo ya nje wao walijifadhili wenyewe
 
Matumizi yanayofanyika ya hayo makusanyo ni yapi na kuna vyanzo vingapi ambavyo Tanzania inavyo pengie hakuna ? Au nikutajie nchi ambazo hazina hata Income Tax; Unaongelea Tanzania haikusanyi wakati kuna zaidi ya triple taxation yaani hadi ukipoteza kitu kutoa tu report bado unalambwa TOZO

Ni hapo ambapo watu wanapotoka na kuna kitu wanashindwa kufahamu pitia Modern Monetary Theory katika Age ya FIAT Currency...

Modern Monetary Theory (MMT) is a heterodox economic framework describing how government finances spending in a fiat currency economy. Key tenets include that a sovereign currency-issuing government with a floating exchange rate does not need to tax or borrow before spending, as it can create new money via its central bank. The real constraint on government spending is the capacity of the economy to absorb it without causing inflation, and taxation is the primary tool to control inflation and manage demand.

Kwa ufupi miradi ambayo ni ya ndani inatumia nguvu kazi za ndani kulipa mishahara watu wa ndani kuliko kukopa na kuja kulipa RIBA kupitia huyo huyo mlalahoi unaweza ukaprint hizo CASH na baadae miradi hiyo return yake ikaleta balance kwahio deni likawa ni kama umekopa wananchi wako (wamekukopesha) By the way hata USA iliprint pesa katika ku fadhili vita (Civil Wars) Na sasa hivi inatuchezesha Desi Dunia kwa kufanya hilo hilo (welcome to the Word of FIAT Currency)

By the way ulishajiuliza kwanini JAPAN wana Defeceit kubwa ?!! Ni kwamba badala ya kufuata ushauri wa IMF wa kukopeshwa na kuchukua mikopo ya nje wao walijifadhili wenyewe
Suala la IMF nimekupa mfano hapo kuhusu GDP ungejikita hapo kuelezea.
Unapoleta MMT ambayo iko debatable, na unajua kuwa Zimbabwe iliwahi kufanya suala hilo wakaangukia kwenye Hyper inflation.

MMT ni post-Keynesian kama unafahamu huyo Keynes mwenyewe nadharia zake za fedha zilikosa relevance miaka ya 1960 hadi alipokuja later Friedman na kurudisha uchumi kwenye mstari. Now this is a well documented Economic History which I always enjoy reading.

Kuhusu Fiat money, mimi nitakuuliza unataka kurudi kwenye gold standard?
 
Suala la IMF nimekupa mfano hapo kuhusu GDP ungejikita hapo kuelezea.
Unapoleta MMT ambayo iko debatable, na unajua kuwa Zimbabwe iliwahi kufanya suala hilo wakaangukia kwenye Hyper inflation.
In its core mfumo wa FIAT Currency ni MMT..., sasa Zimbwabwe walifanya hivyo ili wafanye nini ? walipane mishahara au kuleta miradi ambayo ingekidhi maisha ya raia na badala ya kukopa ili baadae walipe pesa ni kwamba wanatumia power yao as a Sovereign ili kufanya wanachofanya..., Kumbuka nimesema ni Mradi na Mradi huu ni wa muhimu na lazima ufanyike (choice ukope ili baadae ulipe RIBA au utumie ili baadae wananchi wako walipe through uzalishaji bila RIBA)
MMT ni post-Keynesian kama unafahamu huyo Keynes mwenyewe nadharia zake za fedha zilikosa relevance miaka ya 1960 hadi alipokuja later Friedman na kurudisha uchumi kwenye mstari. Now this is a well documented Economic History which I always enjoy reading.
Keynesian ni controlled economy wakati wengine ni Market forces (hizi zote ni theory) ila uhalisia ni kwamba hata miaka ya Global Crisis ni kwamba kampuni kubwa zikifeli Government always bails them out (kwahio hii inaendelea mpaka kesho)...; Na hili la sasa has got nothing to do with market forces sababu sasa hivi USA anatuchezesha Desi kwa kuweza kutumia Pesa na kuuzia dunia Bonds na mkija kudai ni mwendo wa kuchapisha dola zingine...

Kuhusu Fiat money, mimi nitakuuliza unataka kurudi kwenye gold standard?
Nani kasema turudi kwenye Gold Standard ? Mimi nimekuuliza kwanini tukope ili kuendesha miradi ya Ndani ? Ukiongelea Zimbabwe na Argentina na Uganda jinsi walivyofanya na pesa zao zikawa hazina thamani hata kutumia kama toilet paper mimi takwambia kuhusu hata USA ilivyotengeneza GreenBacks kwa ajili ya kupigana their civil wars....
 
Back
Top Bottom