Zingatia swali😎Chadema ndicho chama kilikuwa kinatuliza hali ya hewa ..
Upinzani wa sasa ndo Upinzani wa GEn Z
Heche na lissu watu maana sana aisee, wahuni walituchelewesha sanaCCM kwa miaka mingi walizipenda sana siasa za akina Mbowe na Lipumba, za kukutana nyuma ya pazia na kupozana kimya kimya baada ya kuvuruga uchaguzi.
Hizi siasa za akina Lissu na Heche za kupambana mpaka kieleweke, naona zimewatoa kabisa kwenye mstari.
Mwaka 2025 kulikuwa na uchaguzi mmoja tu nao ni 21 mwezi January.21.01.2025 Historic day in the politics of Tanzania. It is the day that made Tanzania politics change, FOR GOOD! Thanks God for that Day and the decision made for us.