Biharamulo; Tunapoelekea hali ni mbaya mno.Ukame.

Honest One

JF-Expert Member
May 12, 2017
235
278
Tunaomba serikali ichukue hatua mapema kabla hali haijawa mbaya zaidi kutokana na ukame. Maji yamehadimika sana,kila kukicha vyanzo vyake vinazidi kukauka na kiangazi ndo kimeanza. Hii hali inatokana na kutopata mvua ya kutosha kipindi cha masika.Serikali okoeni jahazi mapema.
 
Fungeni na kuomba. Pia mpunguze wingi wa dhambi... Hakika Mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehema hata awahurumie wana Biharamulo...
 
Heri yenu ukame kulikoni wale walioathirika na tetemeko. ..kijiwe cha kahawa pale stendi kuu bado kipo? Mji wenu umejaaliwa kwa majungu uswahili ni mwingi sana nakumbuka mliwahi muuliza mgombea mmoja enzi zile za marehemu Kabuye swali ambalo hadi leo hii litaendelea kuwagharimu, " na kupika vitumbua panahitajika mtu aliyesomea kemia? " Biharamulo ni ka mji kadogo sana lkn kila mtu anajifanya mjuaji. ..hatari sana...!!
 
Back
Top Bottom