Mulugo kasoma na hao tena ndo huyo kainama anaandika.
Wanabahat kuzaliwa kwenye nchi ya asali na maziwa ila viongoz wachache wezi,wala rushwa,wenye uwezo mdogo(wizara ya elimu),waliokosa uzalendo,walafi wameiba tumain lao la maisha bora.halafu ni wilaya wanayotoka waziri wa elimu na Rais wa nchi - Bagamoyo