establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,451
Niwe mkweli mikutano hii ya injili ilibadili maisha ya wengi tena baadhi waliacha uovu na kumrudia Mungu. Leo hii viongozi wetu wa DINI hawana hii mikutano mikubwa ya INJILI ya kuwaleta watu wamjue Mungu. Kwa nini?
NB: Tulijaa kwa maelfu pale uwanja wa JANGWANI miaka ya 1991-1994.**
RIP Reinhard Bonke.
NB: Tulijaa kwa maelfu pale uwanja wa JANGWANI miaka ya 1991-1994.**
RIP Reinhard Bonke.