Big Brother Africa: What a waste!

Huku tunaponda wakati watu huko utamu umekolea.

Utamu wa Big Brother waanza kukolea
Mwandishi Wetu
HabariLeo; Saturday,October 06, 2007 @00:04


Naam, moto unaanza kuwaka kwenye Big Brother na Richard … Tusubiri hatma yake Jumatatu.

Makala haya yameandikwa kwa kutumia vyanzo mbalimbali, ikiwamo kufuatilia onyesho la Big Brother katika runinga na tovuti yake.
 
Akirudi jamaa atakuwa kwenye Bongo celebrety http://bongocelebrity.com/ kama nyota wa kitanzania aliyepeperusha bendera ya taifa kwa mashindano ya nyuchi!

Kwa kweli umenichekesha sana mtoto wa Mkulima, eti mashindano, ya nini??&$#***%^& For sure huu ni udhalilishaji. Hata kama kuna shida ya ajira nchini, sio sababu ya watu kujidhalilisha kiasi hiki. Na hapa suala sio kuacha kuangalia, bali kuyapiga marufuku kwa hapa kwetu, kwasababu usipoangalia wewe wengine wataangalia so udhalilishaji utakuwa palepale.
 

DK,Nadhani kama nakuelewa
 

Tafadhali,
Naomba nikuulize hivi tukupe kazi ya wale Madada poa au hata wafagizi mabarabarani,wewe utaifanya?
Kwa kuangalia jinsi unavyo jichukulia yaani heshima yako sidhani kama utafanya kwani itakua kama kuji dhalilisha.
Sasa kama hivyo ndivyo,wakina dada poa na wafagizi daily wako kwani huko ndiko wanako pata mshiko wa kula na kuendesha maisha haya mabovu ya kitanzania.Sasa wewe sema tu wanajizalilisha.Bwana mdogo akija na mshiko wake akawekeza kwenye magazeti sidhani kama hauta endea omba kazi ya uandishi wa habari eti kwa sababu amepata hela kwa kukaa uchii kwenye BBA.
Bongo akiri kumkichwa,watu wanaangalia BBA kwa sababu wanataka kumwona dogo anaendeshaje maisha yake na yule dada wa sijui.. Kiangola...!
BBA ni kama tamthiliya ya kweli yaani non-fiction watu wamewekeza ili vitu kama hivyo vionekane,wewe umevua nguo mala ngapi na unajua wangapi wanakuona kwa muda huo?
Hata kama utamwona dogo mle ndani ile ndude... yake ngoja atue pale DIA alafu tuone umwambie nimekuona ile nanilii.... yako .

kuna ule msemo wazamani'..tafuta kama mtumwa ili uje ishi kama mfalme...'
 
you are kidding....
kazi ipi bongo itakulipa hizo hela kwa mkupuo? KCC ni 84,000

Kupanga ni kuchagua],
hwaibi wal kuhujumu uchumi..
wanachotakiwa ni kujisitiri vizuri.

Hapo nimecheka nimemkumbuka mzee wa font fed
 
Huu ni ubidhaishaji 'commodification' wa mwili. Hapa mwili unatumika kama bidhaa ya kujipatia pesa.. Huu ni ubepari mkongwe...
 
Mkuu watu hao akili yao iko kwenye kupata ushindi na umaarufu. Hayo mambo ya utamaduni wao hawajali hilo. Na wala hawakulazimishwa hayo ndiyo masharti ya BB na wameridhika nayo.
 
Huu uzi wa miaka 10 iliyopita yanayojiri muda huu huku mitaani ni zaidi ya big brother maadili yamezidi kuteketea umagharibi umejijumlisha na umashariki kifupi dunia imevaa bikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…