Bifu la Lulu na Mange

warumi

R I P
May 6, 2013
16,218
18,440
Hii vita vya Lulu na Mange naona inamcost sana Majizzo. Ni ukweli usiopingika kuwa Mange anaishi USA lakini hana maisha kama anayoishi Lulu Tz. Lulu ni mtoto mdogo sana kwa Mange lakini kampiga bao Mange kimaisha ndio maana Mange anaweweseka kutwa na Majizzo, anajua anampa jeuri Lulu.

Naona anajaribu kufanya kila mbinu akishirikiana na wabaya wa Lulu na Majizzo kumpoteza kabisa Majizzo jambo ambalo amefanikiwa kwa asilimia 10.

Lulu unaambiwa sasa hivi hana raha kutwa full stress. Alijisemea Lemutuz Mange ana spirit ya Jezebel, ana nguvu kubwa sana ya ziada, nguvu ya maangamizi, nguvu ya kuteka akili za watu, nguvu za giza naweza kusema.

Lulu ujiandae mapema, maana Majizzo akitoka polisi hawezi tena kuwa na Lulu,usiulize kwa nini. Huu umbea wa familia, ubuyu exclusive
 
Hii vita vya lulu na mange naona inamcost san a majizzo, ni ukweli usiopingika kuwa Mange anaishi USA lakini hana maisha kama anayoishi lulu Tz, lulu ni mtoto mdogo sana kwa mange lakini kampiga bao mange kimaisha ndio maana mange anaweweseka kutwa na majizzo, anajua anampa jeuri lulu, naona anajaribu kufanya kila mbinu akishirikiana na wabaya wa lulu na majizo kumpoteza kabisa majizo jambo ambalo amefanikiwa kwa asilimia 10%, lulu unaambiwa sasa hivi hana raha kutwa full stress,alijisemea lemutuz mange ana spirit ya Jezebel, ana nguvu kubwa sana ya ziada,nguvu ya maangamizi,nguvu ya kuteka akili za watu,nguvu za giza naweza kusema. Lulu ujiandae mapema,maana majizo akitoka polisi hawezi tena kuwa na lulu,hata akitoka leo,usiulize kwa nini, huu umbea wa familia,ubuyu exclusive


Ana Gundu Lulu, kama mwanaume anaekua nae hajafa basi anakumbwa na majanga kama hivyo majizo
 
Hahahaha sio kweli mange amekua shida TZ alafu yeye anaishi marekani social network balaa
 
Hii vita vya lulu na mange naona inamcost san a majizzo, ni ukweli usiopingika kuwa Mange anaishi USA lakini hana maisha kama anayoishi lulu Tz, lulu ni mtoto mdogo sana kwa mange lakini kampiga bao mange kimaisha ndio maana mange anaweweseka kutwa na majizzo, anajua anampa jeuri lulu, naona anajaribu kufanya kila mbinu akishirikiana na wabaya wa lulu na majizo kumpoteza kabisa majizo jambo ambalo amefanikiwa kwa asilimia 10%, lulu unaambiwa sasa hivi hana raha kutwa full stress,alijisemea lemutuz mange ana spirit ya Jezebel, ana nguvu kubwa sana ya ziada,nguvu ya maangamizi,nguvu ya kuteka akili za watu,nguvu za giza naweza kusema. Lulu ujiandae mapema,maana majizo akitoka polisi hawezi tena kuwa na lulu,hata akitoka leo,usiulize kwa nini, huu umbea wa familia,ubuyu exclusive

Warumi ktk ubora wake. Bado hance mtanashati nae aje Na ubuyu wa tunda
 
Hii vita vya lulu na mange naona inamcost san a majizzo, ni ukweli usiopingika kuwa Mange anaishi USA lakini hana maisha kama anayoishi lulu Tz, lulu ni mtoto mdogo sana kwa mange lakini kampiga bao mange kimaisha ndio maana mange anaweweseka kutwa na majizzo, anajua anampa jeuri lulu, naona anajaribu kufanya kila mbinu akishirikiana na wabaya wa lulu na majizo kumpoteza kabisa majizo jambo ambalo amefanikiwa kwa asilimia 10%, lulu unaambiwa sasa hivi hana raha kutwa full stress,alijisemea lemutuz mange ana spirit ya Jezebel, ana nguvu kubwa sana ya ziada,nguvu ya maangamizi,nguvu ya kuteka akili za watu,nguvu za giza naweza kusema. Lulu ujiandae mapema,maana majizo akitoka polisi hawezi tena kuwa na lulu,hata akitoka leo,usiulize kwa nini, huu umbea wa familia,ubuyu exclusive
Ivi kwanini kila Mwanaume anaetoka na Lulu Lazima akutane na majanga??
 
Lulu kila mti anaojitahidi kushika unateleza...

Kanumba alivuta.

Kapteni mbunge wetu naye akavuta.

Majizo naye ataozea selo...

Lulu ana nini Lulu??
Ngoja lulu akusikie


Ila warumi... huyo mmiliki wa redio yupo ndani au nje????? Sidhani kama kuna bifu kati ya mange na luku...la sivyo mange angemchamba lulu live na lulu alivyo na majibu ya mwendokasi lazima angetuachia ibuyi insta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom