Bifu la Lulu na Husna lapamba moto

Bifu la Lulu na Husna lapamba moto

tupo wengi mkuu lakini kuna watu wanahonga nyumba pale au sijui waga ni story tu! rose ndauka ndio anachanganya akili yangu, naweza nikamuhonga hata elfu hamsini..

Hahahahaha mkuu umenifurahisha,eti elfu 50. Sio gari?
 
tupo wengi mkuu lakini kuna watu wanahonga nyumba pale au sijui waga ni story tu! rose ndauka ndio anachanganya akili yangu, naweza nikamuhonga hata elfu hamsini..
Kaka tupo wengi ila mimi ROSE NDAUKA NITAKUZIDI KIDOGO NAWEZA KUMUHONGA 90,000/= BILA YA KUDAI CHANGE
 
Kwa hyo unamuangalia mtu kwa sura? KWa hyo mtu mdomo ukiwa na fungus basi ana ngoma? Mmh kazi unayo binamu mwaka huu, hahahaha
Binamu mara nyingi japo sio mara zote nairudia tena mara nyingi mtu mwenye hizo kitu ngoma huwa ipo jirani tu fanya risechi
 
Binamu mara nyingi japo sio mara zote nairudia tena mara nyingi mtu mwenye hizo kitu ngoma huwa ipo jirani tu fanya risechi

Mara nyingi mtu akiwa na vidonda mdomoni anakua ana upungufu wa vitamin C (scurvy ) , so huenda ana upungufu huo, unatokana na kutokula matunda yenye asili ya uchachu kama machungwa, limao ,ndimu na nk, msisingizie ukimwi
 
Mara nyingi mtu akiwa na vidonda mdomoni anakua ana upungufu wa vitamin C (scurvy ) , so huenda ana upungufu huo, unatokana na kutokula matunda yenye asili ya uchachu kama machungwa, limao ,ndimu na nk, msisingizie ukimwi
Ha ha ha naona umejitolea kwa moyo mmoja kumtetea husna kwani veepee....ngoja tuendelee kupata udaku kwa hisani ya Instagram
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom