Bifu la Lulu na Husna lapamba moto

Bifu la Lulu na Husna lapamba moto

Hawa watakuwa wameibiana mabwana

attachment.php
 
sikapendi kalulu toka kamuue kanumba
yaani sikapendiiiii
 
Lulu kameambiwa kafupi kama stuli na husna kameambiwa kimbamba kama kametundikwa kwenye henger ya nguo
 
Vinajuana sana vilikua mmoja akipata bwana vinaenda wote mmoja akiwa anapigwa dudu mmoja ananyonya mbupu na kufutafuta jasho
 
Vinajuana sana vilikua mmoja akipata bwana vinaenda wote mmoja akiwa anapigwa dudu mmoja ananyonya mbupu na kufutafuta jasho
na ndio ugonvi ulipoanzia...husna alimuibia lulu, lulu nae akalipiza akamuibia yule marehemu...haya mambo ya kujifanya kukomoa kuiba bwana wa mtu nehii kwakweli sa kama kana ngoma si ndo ameiba na ngoma na keyboard na gitaa na matarumbeta
 
Kabisa yani, bora ukutane na UKIMWI utapata muda wa kutubu kuliko kukutana na LuLu ze iziraili.

Wote wanajijua ni waathirika, hyo kauli imebeba majibu yote kuhusu hawa watoto
 
Alafu kalulu kanaonesha kuthibitisha ka husna kanaukimwi that why kanasema kasije mfia

Sio yeye tu ata lulu nae, ndio maana mama yake anaingilia kati, huu ugomvi wakiendelea utaibua mengi sana, husna anajua siri nyingi sana za lulu, lulu angekuww mpole tu maana yeye ni staa kuchafuliwa ni dakika mbili
 
na ndio ugonvi ulipoanzia...husna alimuibia lulu, lulu nae akalipiza akamuibia yule marehemu...haya mambo ya kujifanya kukomoa kuiba bwana wa mtu nehii kwakweli sa kama kana ngoma si ndo ameiba na ngoma na keyboard na gitaa na matarumbeta

SI walikuwa wanaona raha kuhongwa magar ya kifahar, na wadudu wawabebe sasa
 
Kwa sababu staa au? Kwa hyo husna ndo unaamin?
ha ha ha unajua mtu mgonjwa kuna muda unaezamwangalia tu ukajua...haya macho yangu yamesomea udaktari lol!!kabla sijaskia ana ngoma na bendi ile kipindi cha msiba wa bwana yao alipost picha hana kipodozi wala filter yani mdomo una fangas nkajiemea tu kumoyo huyu....sasa na kwa tuhuma hizi mmh naamini 40% kuhusu lulu mweh sijui buana
 
ha ha ha unajua mtu mgonjwa kuna muda unaezamwangalia tu ukajua...haya macho yangu yamesomea udaktari lol!!kabla sijaskia ana ngoma na bendi ile kipindi cha msiba wa bwana yao alipost picha hana kipodozi wala filter yani mdomo una fangas nkajiemea tu kumoyo huyu....sasa na kwa tuhuma hizi mmh naamini 40% kuhusu lulu mweh sijui buana

Kwa hyo unamuangalia mtu kwa sura? KWa hyo mtu mdomo ukiwa na fungus basi ana ngoma? Mmh kazi unayo binamu mwaka huu, hahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom