Bifu la Lulu na Husna lapamba moto

Bifu la Lulu na Husna lapamba moto

Duuuu!!!Lulu ana ngoma??..hii habari sitaki kuipokea..
 
Mimi huwa nashangaa ninaposikia kuwa eti LULU NI MZURI
 
ha ha ha unajua mtu mgonjwa kuna muda unaezamwangalia tu ukajua...haya macho yangu yamesomea udaktari lol!!kabla sijaskia ana ngoma na bendi ile kipindi cha msiba wa bwana yao alipost picha hana kipodozi wala filter yani mdomo una fangas nkajiemea tu kumoyo huyu....sasa na kwa tuhuma hizi mmh naamini 40% kuhusu lulu mweh sijui buana


macho hayana vipimo hhhhaaaa
 
Mimi huwa nashangaa ninaposikia kuwa eti LULU NI MZURI

tupo wengi mkuu lakini kuna watu wanahonga nyumba pale au sijui waga ni story tu! rose ndauka ndio anachanganya akili yangu, naweza nikamuhonga hata elfu hamsini..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom