Bidhaa za madukani miji ya Katoro, Kasulu, Tunduma mara nyingi no bei sawa na kariakoo kwa sababu hii

Bidhaa za madukani miji ya Katoro, Kasulu, Tunduma mara nyingi no bei sawa na kariakoo kwa sababu hii

gwanseri

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2024
Posts
632
Reaction score
1,823
Wakuu
Tanzania mzima miji hiyo ya Katoro, Kasulu, Tunduma bidhaa mbalimbali bei ni sawa na kariakoo kwa sababu ambazo nazoweka hapa chini
 
Mangedo, mfano katoro mizigo inachukuriwa kuwa inaenda Burundi, au Rwanda au unganda hivyo inatozwa ushuru kidogo bandarini Kwa kufata international laws taxation lakini inashushwa katoro. Hivyo bei inakuwa chee.
 
Mangedo, mfano katoro mizigo inachukuriwa kuwa inaenda Burundi, au Rwanda au unganda hivyo inatozwa ushuru kidogo bandarini Kwa kufata international laws taxation lakini inashushwa katoro. Hivyo bei inakuwa chee.
Safi sana hii ni sababu moja kubwa Sana, umemaliza na uzi uishie hapo
 
Mangedo, mfano katoro mizigo inachukuriwa kuwa inaenda Burundi, au Rwanda au unganda hivyo inatozwa ushuru kidogo bandarini Kwa kufata international laws taxation lakini inashushwa katoro. Hivyo bei inakuwa chee.
Ila mikodi ya bongo ni kutiana umaskini tuu ndio maana kutoboa ni ngumu sana
 
Ni mazoea tu kuwa wafanyabiashara wa maeneo hayo si wenye kutaka faida mara mbili kwa bidhaa moja.
Pia bidhaa kutoka nchi jirani zisizo na mlolongo wa kodi kama Tozonia inachangia kuwa na bei chee ya bidhaa nyingi.

Kama hoja yako ni kweli, unadhani watu wa Makambako, Njombe, Kahama, Bukoba, Karagwe, Rusumo, Horohoro, Rukwa, Namanga, Kasumulu Musoma/Tarime wangeshindwa kuiga kunya kwa tembo?
 
Back
Top Bottom