Kwanza inategemea ni biashara ya aina gani, lakini hata hivyo hao wahindi ni wachakachuaji wa kutosha inabidi uwe mwangalifu sana kwani ukiangalia hata CDs wanazotuuzia tunaishia kununua picha za kwenye COVER na si kilichomo ndani.
Nashukuru kaka kwa majibu ila nlikua nataka kuagiza A4 t-shirt printer na nlimtumie ujumbe seller na hajajib mpaka sasa hivi na ni free shipping to Tanzania through DHL na kuna mwingine nliwasiliana nae ilikua imeandikwa free shipping na akaniambia sio free shipping to Tanzania ingawapo walikua wameandika hvo.
Nashukuru kaka kwa majibu ila nlikua nataka kuagiza A4 t-shirt printer na nlimtumie ujumbe seller na hajajib mpaka sasa hivi na ni free shipping to Tanzania through DHL na kuna mwingine nliwasiliana nae ilikua imeandikwa free shipping na akaniambia sio free shipping to Tanzania ingawapo walikua wameandika hvo.Link ya hawa wengine ambao nawatumia ujumbe na hawanijib ni
Alibaba ni neno la kichina maana yake kwa kiswahili ni MWIZI
Sina zaidi, lakini namna descriptions za bidhaa zao zinavyokua lazima kuna ulaghai uliojificha
alibaba kama una hela ya mkopo utafungwa! bei ya chini utafikiri umeula,, ingekuwa kweli wafanyabiashara wasingekuwa wanahangaika kufuata bidhaa dubai, china nk,,, unaagiza laptop unaletewa mdoli wa laptop
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.