SirChief
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 3,304
- 3,367
Media pia hazitaki ku admit kwamba Jeo ana tatizo la kiafya,hasa Amnesia...Mwezi wa 3 hajafanya live press briefing, WH wanaogopa nini kumu expose kwa journalist wamtwange maswali kama Trump??...Putin kaongea hivo simply kwa vile Biden ana afya mgogoro na watu wanajua. Uwezo wake kiakili sio mkubwa sana kwa sasa na akitoa hotuba lazima atoe kauli tata kama hatosoma kwenye teleprompter. Trump alikuwa anahutubia kutoka kichwani