Biden: Putin will 'pay a price' for election meddling

Hawakuwahi ivunja ussr..walifanya kila linalowezekana ila ilishindikana kabisa..USSR haikusambaratika kwa sababu ya marekani..au kazi ya CIA.. Ni tofauti kabisa.
Mkurugenzi wa CIA wa kipindi hicho amehojiwa mara nyingi na kuthibisha hilo.
Hawakutarajia kama tukio lingetokea wakati ule tena kwa kasi vile..
Yule mkurugenzi wa CIA aliamua kujiuzuru baadaye maana anasema CIA ilipoteza kabisa dira hawakujua nini cha kufanya tena..it was a big surprise to them.
Inahitaji makala ndefu kidogo ili tuweze kuelewana nini hasa kilitokea mpaka kusambaratika kwa USSR.
Kwa vile Marekani ndio alikuwa adui mkuu na harakati zake kupitia CIA but wengi huipa sifa kubwa CIA ambazo hata huo uwezo hawakuwa nao wakati huo..bali walikua wanaendelea na harakati ngumu za na kuamini one day sijui mwaka gani watafanikiwa.

Ila sio wakati ule..fuatilia Dr classified documents zao nyingi zinaeleza bayana.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kwanini Golbachev alikimbilia kwao⁉️⁉️🤔
 
Walivunja USSR na kiongozi akakimbilia mapumzikoni USA
Hizi danganya toto umepewa na nani. USSR imevunjika kwa sababu za kiuchumi hasa kushuka kwa bei ya mafuta, uchumi ukawa mbaya, vita ya Afghanistan ikawagharimu na wakashindwa progress. Miradi yao mikubwa ilikuwa ni silaha, hakuna innovation kwenye mambo ya kijamii mwisho wa siku bidhaa kubwa kwao ni natural resources na silaha.

USSR ilivunjika bila hata CIA kujua wala kutarajia kabisa. Ilikuwa ghafla tu baada ya Perestroika na Glasnost kufeli, nazo zilikuja baada ya Ujamaa mgumu kuonekana utawapoteza.
 
Biden kamwita Putin 'killer ' muuwaji
Putin kajibu 'sina cha kukujibu ila nakutakia afya njema Mr Biden pia kama unataka mahojiano mm na ww live mbele ya vyombo vya habari basi niko taari mda wowote ili tuende sawa, Biden kajibu' Sina mda na mahojiano kwasababu niko byzy na taifalangu kwa shughuli za kiserekali
Ila inaonekana hapa kutakua na mvutano kidogo maana sasaivi wameshaanza mahusiano mabaya ya kidiplomasia
 
Russian President Vladimir Putin has challenged his American counterpart, Joe Biden, to a livestreamed online discussion, without a delay, and suggested they debate bilateral relations and issues of importance to the wider world.

The president named the fight against the pandemic, regional conflict resolution, and strategic stability issues as possible topics, noting that he would be ready to talk to Biden on Friday or Monday in an “open” chat.

“I would like to suggest to President Biden that we continue our discussion, but on the condition that we actually do it live, without any delays, directly in an open, live discussion,” Putin told the Russia 24 TV channel on Thursday. “I think it would be interesting for the people of Russia and the people of the United States and many other countries,” he added.

ALSO ON RT.COMPutin replies to Biden's insinuation that he's a ‘killer’: Says US President is talking about himself but ‘I wish him good health’
 
USSR imevunjika kwa sababu za kiuchumi hasa kushuka kwa bei ya mafuta, uchumi ukawa mbaya, vita ya Afghanistan ikawagharimu na wakashindwa progress. Miradi yao mikubwa
Kwahiyo hakuwezi kuwepo mkono wa third party kwenye hili⁉️

Ondoa hoja zako za kitoto
 
Kwahiyo hakuwezi kuwepo mkono wa third party kwenye hili

Ondoa hoja zako za kitoto
Hoja za kitoto unazo wewe. CIA na Marekani nzima inakataa kuhusika, research muhimu zote za waandishi na wafatiliaji wa mashirika, binafsi na taasisi wanakataa uhusika wa CIA.

Basi taja huo mkono unaosema
 
Hoja za kitoto unazo wewe. CIA na Marekani nzima inakataa kuhusika, research muhimu zote za waandishi na wafatiliaji wa mashirika, binafsi na taasisi wanakataa uhusika wa CIA.

Basi taja huo mkono unaosema
Utoto wako ndio unakufanya uamin kuwa CIA wanapaswa kukubali
 
Mshkaj anamwambia mwenzie anamtakia "afya njema" hii maana yake labda B ni mgonjwa au labda hili ni tishio kwamba pind siku novichok itamhusu na hapa ndipo majasus wanapolazimika kuongeza kiwango cha utafutaj taarifa na kwa mazingira haya inaonyesha ni kwa kiwango gani kuwa urusi ni noma linapokuja swala LA ujasusi.
 
Mshkaj anamwambia mwenzie anamtakia "afya njema" hii maana yake labda B ni mgonjwa au labda hili ni tishio kwamba pind siku novichok itamhusu na hapa ndipo majasus wanapolazimika kuongeza kiwango cha utafutaj taarifa na kwa mazingira haya inaonyesha ni kwa kiwango gani kuwa urusi ni noma linapokuja swala LA ujasusi.
Yes, Hio kauli Putin kaitoa kwa upole sana but inaonyeshea inamaana kubwa sana
 
Mshkaj anamwambia mwenzie anamtakia "afya njema" hii maana yake labda B ni mgonjwa au labda hili ni tishio kwamba pind siku novichok itamhusu na hapa ndipo majasus wanapolazimika kuongeza kiwango cha utafutaj taarifa na kwa mazingira haya inaonyesha ni kwa kiwango gani kuwa urusi ni noma linapokuja swala LA ujasusi.
Putin kaongea hivo simply kwa vile Biden ana afya mgogoro na watu wanajua. Uwezo wake kiakili sio mkubwa sana kwa sasa na akitoa hotuba lazima atoe kauli tata kama hatosoma kwenye teleprompter. Trump alikuwa anahutubia kutoka kichwani
 
Back
Top Bottom