Biden atashinda, Trump is done

Mkuu Umesahau Tanzania ilipigwa ban ya kutokuingia USA? Pamoja na Nigeria, na nchi zingine tano..

Pamoja na makonda na familia yake wakapigwa life ban ..juzi kati tu hapa.
Really?

Mbona mimi kwa mwaka uliopita nimeweza kusafiri baina ya hizo nchi mbili zaidi ya mara 3?

Hiyo ban mimi haikunihusu labda?
 
Nimesema mara kadhaa hapa kwamba suala la COVID-19 ndio moja ya sababu kuu ya kushindwa Trump, watu hawaelewi.
Nyani wa afrika wana tabu sana!! Hamkumshauri aitishe maombi iishe kama huku?
 
Ila pia zipo facts zaidi kama kupandisha minimum wage iwe dola 15 kwa saa ni zaidi ya mara mbili ya kiwango cha sasa.

Pili, Marekani wamekuwa wakificha ukweli kwamba nchi ipo katiu a kile kipindi cha economic depression kwamba idadi kubwa ya watu hawana kazi na wategemea handouts na food banks au charities kusukuma siku.

All in all nyuma ya pazia jeshi na Intel people watakuwa happy maana ni factions zao tu ndizo zilikuwa kwa Trump.

Wasiwasi wangu ni Military na Intel kuanza kutafuta wapi pa kupata ugomvi kwa kutumia the same foreign police yao.

Trump alikuwa anaivuruga FP kwa kuamua mambo yake kivyake bila kufuata ushauri na kile kitendo cha kumuua yule general wa Iran kwa kasi fulani kimeleta damage ya kufdumu kwenye uhusiano na Iran.
 
Punguza hasira, jikite kwenye hoja.
Siwezi mwonea hasira kima, nimeuliza tu hamkumshauri Trump aitishe maombi amalize Covid19 kama mlivyoimaliza bongo kwa maombi?
 
Siwezi mwonea hasira kima, nimeuliza tu hamkumshauri Trump aitishe maombi amalize Covid19 kama mlivyoimaliza bongo kwa maombi?
Trump na Lissu wote wajuaji hivyo hawahitaji ushauri.

Utamshauri vipi mtu anaejiona afahamu kila kitu?

Wote hawakuwa wakijikita kwenye kueleza sera na ilani za vyama vyao isipokuwa mipasho na kejeli.

Na sasa imekula kwao.
 
Ngoja MATAGA wakusikie watakuambia magumu alikupia kitimoto ukiwa bongo

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Trust me, hizo sababu zingine zingekuwa ni za muhimu sana basi ingejionyesha kwenye sanduku la kura!

Otherwise, unaelezea vipi GOP kuendelea kuwa na majority kwenye senate, unaelezea vipi GOP ku narrow gap ya members of House of Representatives?

Democrats hawajashinda hata kiti kimoja kilichokuwa kinakaliwa na Republican kwenye house.

Hii ilikuwa ni referendum ya mtu, the man, Donald Trump.

Unajua kuwa Mitt Romney, 2012 GOP nominee hakumpigia kura Trump?

Ulimwona G.W. Bush akimpigia kampeni Trump?

Mbona Obama alikuwa anampigia kampeni Biden.

Mke wa John McCain, 2008 GOP nominee alimu endorse Biden.

Na unajua kwa nini Biden kashinda hata Arizona? Home state ya McCain.

Arizona ni red state.

Trump, baada ya McCain kufa, hakwenda hata kwenye msiba wake. Bado akaendeleza bifu na marehemu.

Rais mzima unamsema vibaya mtu ambaye keshakufa??

Trump hakwenda hata kwenye msiba wa First Lady Barbara Bush!

Hata kwenye msiba wa Rais Bush, hakwenda.

Ilhali marais wengine wote walio hai, walienda kwenye hiyo misiba.

Character ya Trump ina flaws nyingi sana.
 
Trump na Lissu wote wajuaji hivyo hawahitaji ushauri.

Utamshauri vipi mtu anaejiona afahamu kila kitu?

Wote hawakuwa wakijikita kwenye kueleza sera na ilani za vyama vyao isipokuwa mipasho na kejeli.

Na sasa imekula kwao.
Nyani
 
Natambua Republican kutawala senate lakin tayari "behind the scenes" wamekubaliana kushirikiana na hiyo ndo sababu kubwa ya kuchelewesha kumtangaza Biden.

Behind the scenes wamekuwa wakijadili ni vipi Biden atatawala bila kuleta tofauti kubwa ya kisiasa kwenye senate.

Lakini Biden ana bahati kwamba kiongozi wa wabunge wa Republicans bwana Mitch McConnell ni rafiki yake.

Kisha kuna mwenyekiti wa kamati ya bunge ya sheria seneta Lindsey Graham ambae mwanzoni alisema angemsaidia Trump kufungua kesi ya kupinga matokeo ya Pennsylvania lakini baadae alipoongea na Biden akaahidi kufany kazi nae kwa masharti fulani.

Hivi wafahamu wakati wa kampeni Democrats walijitahidi kuzuia vurugu za wafashist wa Trump ambao waliona model wao aelekea kushindwa.

Democrats ni chama cha Wall Street na military na mmoja wa maseneta aitwae Abigail Spanberger alitahadharisha juu ya matumiz ya maneno kama ujamaa socilism maana sera nyingi za sasa ni za kutengeneza tena huduma za afya kwa wote.

Spanberger ni jasusi na sasa anataka democrats kuhakikisha interest za military na intel zinazingatiwa na pengine ni kutafuta migogoro zaidi duniani badala ya ndani.

Ila la kwenye character nakubaliana nalo ingawa yapo mengi zaidi.
 
Really?

Mbona mimi kwa mwaka uliopita nimeweza kusafiri baina ya hizo nchi mbili zaidi ya mara 3?

Hiyo ban mimi haikunihusu labda?
Nazungumzia Immaigrant Visa, Non-Immagrant Visa hatukupigwa ban na ndo maana wakina Roma na Beneficial wapo huko kwa muda.

Nazungumzia ile DV-Lottery..
 
Nazungumzia Immaigrant Visa, Non-Immagrant Visa hatukupigwa ban na ndo maana wakina Roma na Beneficial wapo huko kwa muda.

Nazungumzia ile DV-Lottery..
Sijui unachokiongelea.

Mara huku useme mlipigwa ban....mara useme sijui nimemgeuka nani.

Hueleweki.
 
Hakuna jinsi.

Ni lazima kushirikiana hususan kama kuna divided government.

Kuhusu character, hivi unajua kuwa Trump kuna siku moja ali retweet tweet ya mtu anasema “White power” halafu baadaye akaifuta?

Rais wa Marekani an are tweet kitu kama hicho....go figure.
 
Nazungumzia Immaigrant Visa, Non-Immagrant Visa hatukupigwa ban na ndo maana wakina Roma na Beneficial wapo huko kwa muda.

Nazungumzia ile DV-Lottery..
DV Lottery bado ipo na mchakato wake waisha wiki ijayo yaani tarehe 10 November tangu tarehe 7 October.

Unachokisema weye ni Marekani kuifikiria kuiongeza Tanzania katika orodha ya nchi zenye raia wengi wa kiislam ingawa haikuja kuthibitishwa baadae.
 
Sijui unachokiongelea.

Mara huku useme mlipigwa ban....mara useme sijui nimemgeuka nani.

Hueleweki.
Mkuu umesahau leo hii juzi hapa Makonda anapigwa ban ya kuingia USA na Tanzania nayo ilijumuishwa?? Tafuta zile nchi za Saba Trump alizopiga Ban kuingia USA.

Sasa nauliza je? Biden ataondoa..

Kumbuka State kuna aina mbili za Visa kuna Immigrant na Non Immigrant Visa...

Sisi tulipigwa ban Visa ya Immigrant, yani hata zile bahati nasibu za Dv Lottery hatumo, Visa pekee tunaruhusiwa kuomba ni Non Immigrant Visa kama za kimasomo, utalii...
Ni hayo tu mkuu.
 
Mkuu ina maana mimi sijui au naomba nieleweshe hapo..
 

Attachments

  • Screenshot_20201107-230116_Chrome.jpg
    158.5 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…