Biden atashinda, Trump is done

Keshapigwa
 
 
 
Hivi ile Ban tuliyopigwa na Trump ya kuingia USA Biden ataiondoa? Inaonesha Makonda alifunga na kuomba sana😀😀😀
 
Hivi ile Ban tuliyopigwa na Trump ya kuingia USA Biden ataiondoa? Inaonesha Makonda alifunga na kuomba sana😀😀😀
Mlipigwa ban? Wewe na nani?

Umenikumbusha kuna mfanyakazi mmoja wa uhamiaji nilikutana naye uwanja wa ndege Dar mwaka 2016 akanambia eti endapo Trump angeshinda, basi wabongo wote waliopo Marekani wangerudishwa.

🤣🤣🤣🤣🤣

Analysis za baadhi ya wabongo, hususan kuhusu siasa za Marekani huwa zinanichekesha sana.

Kuna mwingine, tena mtu wangu karibu kabisa, ile 2008 baada ya Obama kushinda eti akadai Marekani kutatokea vita kwa sababu Obama atawapendelea watu weusi na hivyo Wazungu watachukia.

Uelewa finyu sana wa mambo.
 
Nimesema mara kadhaa hapa kwamba suala la COVID-19 ndio moja ya sababu kuu ya kushindwa Trump, watu hawaelewi.
 
Nimesema mara kadhaa hapa kwamba suala la COVID-19 ndio moja ya sababu kuu ya kushindwa Trump, watu hawaelewi.

Actually covid haijaleta impact kama ilivyotarajiwa..
Idadi ya kura alizopata Trump imeongezeka sana kuzidi mwaka 2016..
Na idadi ikubwa hawajamlaumu kuhusu covid..

Racial inequality wamesema ndo angalau
Ambao wamempigia Biden ndo no 1 factor
 
Trump keshaanza kutembeza Clearance form hapo White house au Bado!??
 
Jaman si mtabiri kuhusu Tz pia na iwe kweli
 
Mkuu Umesahau Tanzania ilipigwa ban ya kutokuingia USA? Pamoja na Nigeria, na nchi zingine tano..

Pamoja na makonda na familia yake wakapigwa life ban ..juzi kati tu hapa.
 
Actually covid haijaleta impact kama ilivyotarajiwa..
Idadi ya kura alizopata Trump imeongezeka sana kuzidi mwaka 2016..
Na idadi ikubwa hawajamlaumu kuhusu covid..

Racial inequality wamesema ndo angalau
Ambao wamempigia Biden ndo no 1 factor
Kweye COVID-19 Trump mara nyingi amewadharau wataalam wa afya na ushauri wao.

Dr Fauci na wengine wamepata taabu sana kufanya kazi na Trump.

Biden ameahidi kufanya kazi na wataalam na pia kuwahimiza wamarekani kuvaa barakoa.

Pia ameahidi kutoa dawa ya chanjo bure kwa kila mmarekani.

Ukizungumza hivi vitu mbele ya wapiga kura hukosi kitu.
 
Nimesema mara kadhaa hapa kwamba suala la COVID-19 ndio moja ya sababu kuu ya kushindwa Trump, watu hawaelewi.
Mimi nadhani ni character.

C-19 ni kama imekuja tu kuongeza ladha mwishoni mwishoni hapa.

Kwa sababu, kama sababu kuu ingekuwa ni C-19, basi ungeona huo ushindi umepenyeza hadi kwenye bunge [Reps na Senate], State legislatures, na kwenye ugavana wa majimbo.

Hilo halijatokea.

Matter of fact, GOP wameongeza viti kwenye House of Representatives. More than likely the house will be split 50-50 or thereabouts. Hivyo, siku za Nancy Pelosi kuwa spika zinahesabika.

Kwenye senate more than likely GOP wata maintain majority, albeit a slim one. But a majority nonetheless.

Kwenye state legislatures, GOP wameweza ku flip state legislatures 3, na hivyo kuongeza idadi ya majority ya legislatures zinazoongozwa na GOP.

Na hilo suala ni muhimu sana kwa redistricting ambayo yaweza ku determine house majority for the foreseeable future.

Kwenye ugavana pia, GOP wana viti vingi kuliko Dems. Asilimia 52 hivi, kama sijakosea.

Hivyo, hakukuwa na blue wave kama ambavyo polls zilikuwa zinadai.

Kilichokuwepo ni rejection tu ya Donald Trump, hususan kutokana na tabia yake.

Kama ingekuwa ni rejection ya GOP policies, ni lazima ingekuwa reflected kwenye nafasi zingine.

Mfano, ni majuzi tu hapa senate GOP wamem confirm Justice Amy Coney Barret kwenda kwenye Supreme Court. Lakini hilo halijawa cost kwenye sanduku la kura.

Na kuna GOP wengi saana ambao hawakumpigia kura Trump, bali walipiga kura dhidi yake kwa kumpigia kura Biden.

Hilo kundi halitokuwepo tena 2024. Litarudi nyumbani.

The 2020 US election was a referendum on Donald Trump mainly because of his character.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…